Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWILI WA GEOGRE OTIENO TYSON AAGWA JANA NYUMBANI KWAKE MBEZI,MAKONDE

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWILI WA MAREHEMU ‘TYSON’ WAAGWA KWA SIMANZI MBEZI-MAKONDE

Waombolezaji  wakiwa wamejipanga kuupokea mwili wa marehemu George Otieno ‘Tyson’. Mwili ukishushwa kutoka kwenye gari.…

 

11 years ago

CloudsFM

11 years ago

GPL

KUTOKA KATIKA MSIBA WA GEORGE TYSON MBEZI MAKONDE JIJINI DAR

Yvonney Chery ‘Monalisa’ akiwa na simanzi kubwa.
Kulia ni mke wa marehemu George Tyson akiwa msibani. (PICHA NA GLOBAL WhatsApp +0753 715 779 : Hamida…

 

11 years ago

GPL

BAADHI YA WAOMBOLEZAJI WAKIWA NYUMBANI KWA MAREHEMU GEOGRE TYSON

Baadhi ya wafanyakazi wa TV1 wakiwasili msibani.
Wafanyakazi wa TV1 wakiwa nyumbani kwa marehemu.
Waombolezaji.…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA GEORGE OTIENO 'TYSON' WAANZA KUAGWA LEADERS CLUB

Jeneza lenye mwili wa marehemu George Otieno 'Tyson' likiwa Viwanja vya Leaders tayari kwa shughuli za kuagwa. Jeneza lenye mwili wa marehemu George Otieno 'Tyson' likiwa mbele ya baadhi ya waombolezaji.…

 

10 years ago

Vijimambo

Taswira za Mwili wa Marehemu Abby Sykes ukiswaliwa nyumbani kwake Kawe

Mwili wa baba mzazi wa msanii wa muziki wa kizazi kipya Dully Sykes ukiwa unaswaliwa nyumbani  kwa kaka wa marehemu maeneo ya Kawe jijini Dar leo mchana na baada ya kumaliza kuswaliwa hapo umepelekwa msikitini na baada ya kutoka msikitini utapelekwa kwenye makabiri ya Kisutu kwa ajili ya mazishi. Mwili wa Ebby Sykes ukipandishwa kwenye gari kwa ajili ya kwenda kuswaliwa baada ya kuswaliwa nyumbani kwa kaka yaka eneo la Kawe jijini Dar
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Dully Sykes akiwa...

 

11 years ago

CloudsFM

GEOGRE TYSON KUAGWA LEADERS JUMATANO,KUZIKWA KISUMU,KENYA JUNI 7

Mwili wa aliyekuwa mwongozaji na mtayarishaji wa filamu, George Otieno Tyson aliyefariki dunia kwa ajali ya gari mwishoni mwa wiki mkoani Morogoro ambapo mwili wake utaagwa siku ya Jumatano katika viwanja vya Leaders, Kinondoni na kusafirishwa kwenda Kisumu, Kenya na kuzikwa Juni 7.Tyson alifariki dunia Ijumaa usiku akiwa njiani kukumbizwa Hospitali ya Mkoa ya Rufaa Mkoa wa Morogoro kufuatia ajali mbaya ya gari iliyotokea maeneo ya Gairo, Morogoro.Katika ajali hiyo, mbali na marehemu...

 

11 years ago

Michuzi

Mwili wa Marehemu Gebbo Peter waagwa leo nyumbani kwake Vingunguti,Kuzikwa kijijini kwao Kigurunyembe mkoani Morogoro

Sehemu ya wachezaji mpira wa sasa na wazamani wakiwa wamesimama pembeni ya Jeneza lenye Mwili wa aliyekuwa Mchezaji wa Timu ya Simba miaka ya nyuma,Marehemu Gebbo Peter aliefariki jana kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.hapa wakiwa nyumbani kwake Vingunguti tayari kwa safari ya kwenda kwenye maziko yake Kigurunyembe mkoani Morogoro (Picha na Evance Ng'ingo)
Wadau mbali mbali wa soka wakiwemo viongozi wa soka wakipita kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani