Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAREHEMU GEOGRE TYSON ALIVYOSAFIRISHWA KUELEKEA KISUMU KENYA

Source:…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

11 years ago

CloudsFM

GEOGRE TYSON KUAGWA LEADERS JUMATANO,KUZIKWA KISUMU,KENYA JUNI 7

Mwili wa aliyekuwa mwongozaji na mtayarishaji wa filamu, George Otieno Tyson aliyefariki dunia kwa ajali ya gari mwishoni mwa wiki mkoani Morogoro ambapo mwili wake utaagwa siku ya Jumatano katika viwanja vya Leaders, Kinondoni na kusafirishwa kwenda Kisumu, Kenya na kuzikwa Juni 7.Tyson alifariki dunia Ijumaa usiku akiwa njiani kukumbizwa Hospitali ya Mkoa ya Rufaa Mkoa wa Morogoro kufuatia ajali mbaya ya gari iliyotokea maeneo ya Gairo, Morogoro.Katika ajali hiyo, mbali na marehemu...

 

11 years ago

GPL

BAADHI YA WAOMBOLEZAJI WAKIWA NYUMBANI KWA MAREHEMU GEOGRE TYSON

Baadhi ya wafanyakazi wa TV1 wakiwasili msibani.
Wafanyakazi wa TV1 wakiwa nyumbani kwa marehemu.
Waombolezaji.…

 

11 years ago

GPL

GEORGE TYSON KUAGWA LEADERS CLUB, KUZIKWA KISUMU NCHINI KENYA

Mwili wa mwongozaji na mtayarishaji wa filamu nchini, George Tyson utaagwa katika Viwanja vya Leaders na baadaye utasafirishwa kwenda nchini Kenya kwa mazishi. Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu, Tyson atazikwa Kisumu, Kenya Juni 7 mwaka…

 

10 years ago

Vijimambo

VOA yazindua ushirikiano na Equator FM, Kisumu, Kenya

Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika Jumatano ilizindua rasmi ushirikiano wa kimatangazo na Equator FM - radio inayomilikiwa na chuo kikuu cha Maseno mjini Kisumu Kenya. Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya America Dr. Mwamoyo Hamza akizungumza wakati wa uzinduzi huo Kisumu siku ya Jumatano.

 

11 years ago

GPL

MAREHEMU TYSON ALIVYOAGWA LEADERS CLUB

Gari lililobeba mwili wa marehemu George Tyson likiingia ndani ya Viwanja vya Leaders Club tayari kwa shughuli nzima ya kuuaga mwili wa marehemu Tyson. Ndugu wa marehemu Tyson wakiongoza waombolezaji pamoja na watu waliobeba jeneza kwenda katika sehemu maalum iliyoandaliwa.…

 

11 years ago

GPL

PICHA ZA KWANZA ZA MAJERUHI KATIKA AJALI YA MAREHEMU TYSON

Mmoja wa majeruhi katika ajali, Gladis Chiduo 'Mc Ze Pompapomba'akiwa chini ya uangalizi wa nesi katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro akipatiwa matibabu. Gladis Chiduo 'Mc Ze Pompapomba' akiwa amepumzika baada ya kupatiwa matibabu. (…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani