Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taswira za Mwili wa Marehemu Abby Sykes ukiswaliwa nyumbani kwake Kawe

Mwili wa baba mzazi wa msanii wa muziki wa kizazi kipya Dully Sykes ukiwa unaswaliwa nyumbani  kwa kaka wa marehemu maeneo ya Kawe jijini Dar leo mchana na baada ya kumaliza kuswaliwa hapo umepelekwa msikitini na baada ya kutoka msikitini utapelekwa kwenye makabiri ya Kisutu kwa ajili ya mazishi. Mwili wa Ebby Sykes ukipandishwa kwenye gari kwa ajili ya kwenda kuswaliwa baada ya kuswaliwa nyumbani kwa kaka yaka eneo la Kawe jijini Dar
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Dully Sykes akiwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mwili wa Marehemu Gebbo Peter waagwa leo nyumbani kwake Vingunguti,Kuzikwa kijijini kwao Kigurunyembe mkoani Morogoro

Sehemu ya wachezaji mpira wa sasa na wazamani wakiwa wamesimama pembeni ya Jeneza lenye Mwili wa aliyekuwa Mchezaji wa Timu ya Simba miaka ya nyuma,Marehemu Gebbo Peter aliefariki jana kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.hapa wakiwa nyumbani kwake Vingunguti tayari kwa safari ya kwenda kwenye maziko yake Kigurunyembe mkoani Morogoro (Picha na Evance Ng'ingo)
Wadau mbali mbali wa soka wakiwemo viongozi wa soka wakipita kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA, LEO NI SIKU YA MWISHO MWILI WA MAREHEMU UNAPUMZISHWA KWENYE NYUMBA YA MILELE HUKO TANZANIA, WATANZANI TUTAKUTANA NYUMBANI KWA DR TEMBA

FLAVIAN IS FLAVIAN TEMBA:   1950 -2015

Alizaliwa Uru Shimbwe na alikuwa Mwalimu  Lyamungu Secondary School, Moshi Kilimamjaro Tanzania.
 Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania kwa Masikitiko makubwa tunaungana na Mweka na Mweka Hazina wetu Dr.Temba kutangaza kifo cha Kaka yake mpenzi Mzee Flavian Temba kilichotokea ghafla usiku wa  June 10,2015 katika Hospitali ya Mawenzi Moshi Kilimanjaro, Tanzania. Kama ilivyo desturi yetu wanajumuiya tuungane na Dr.Temba...

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA ZA MAZIKO YA MAREHEMU SPIKA MSTAAFU WA BARAZA LA WAWAKILISHI MAREHEMU ALI KHAMIS ABDALLAH

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akishiriki katika kumswalia Marehemu Ali Khamis Abdallah, Spika mstaafu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,  katika Masjid Makhfoudh ulioko Mazizini Nje ya Mji wa Zanzibar jana Makamanda wa jeshi la Polisi Zanzibar wakilibeba jeneza la Marehemu Ali Khamis  Abdalla Spika mstaafu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar aliyezikwa Fuoni jana,maziko yake yaliyoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste aliishi kama mtoto nyumbani kwa Dully Sykes

Mabeste na mpenzi wake

Rapa Mabeste ameweka wazi jinsi msanii mkongwe kwenye muziki Dully Sykes alivyomsaidia katika wakati mgumu maishani mwake.

Mabeste na mpenzi wake

Mabeste ambaye yupo katika mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka katika mbuga za Manyara National Park Arusha, ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa Dully ndiye Godfather kweye muziki wake.

Rapa huyo alisema kipindi chote alipokuwa anahangaika kuhusu muziki, Dully Sykes ndiye alikuwa msaada kwake, kuanzia kuvaa, kula na kulala na aliishi nyumbani kwa Dully kwa muda...

 

10 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara auawa nyumbani kwake

MFANYABIASHARA wa nafaka wa Maili Mbili , Dodoma mjini, Kapteni Mwita maarufu kama Chacha amepigwa risasi tatu na kufa akiwa nyumbani kwake.

 

10 years ago

Vijimambo

ASHA AFUTARISHA NYUMBANI KWAKE GERMANTOWN, MARYLAND

Wageni mbalimbali waliojitokeza katika futari ya pamoja siku ya Ijumaa July 10, 2015 Germantown, Maryland nyumbani kwa Asha Hariz nyumba anayoishi na Daudi Boma. Picha kwa hisani ya sheikh OmarAsha Hariz akipata picha na ndiye aliyekua mwenyeji wa wageni wake katika futari ya pamoja. Ally Mikidadi akipata picha ya upendeleo.Kutoka kushoto ni Shamis, Daudi Boma na Asha HarizKutoka kushoto ni Raymond, Dedi Luba na Hassan.Kassim akiwa katika picha ya upendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani