Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RATIBA YA MAZISHI YA MAREHEMU LUTENI KANALI PASCAL S. HAULE (rtd) — NYUMBANI KWAKE KILUVYA TAREHE 13/14 APRIL 2015


MAREHEMU LUTENI  KANALI PASCAL S. HAULE ENZI ZA UHAI WAKE

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Lt.Col PASCAL STEPHEN HAULE (Rtd) WA KILUVYA GOGONI AFARIKI DUNIA

Familia ya Haule wa Kiluvya Gogoni Inasikitika kutangaza kifo cha Mpendwa wao Lt. Col. Pascal Stephen Haule(mstaafu)  Kilichotokea tarehe 10/4/2015 katika Hospitali ya Jeshi Lugalo.Mazishi yatafanyika nyumbani kwa marehemu Kiluvya Gogoni siku ya jumanne 14/4/2015 Habari ziwafikie Ndugu  jamaa majirani na marafiki Popote pale walipo.
Bwana Ametoa Bwana Ametwa Jina la Bwana Lihimidiwe

 

10 years ago

Michuzi

RATIBA YA KUAGA RASMI NA MAZISHI YA MAREHEMU DONALD MAX, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 27 JUNI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA MAKABURI YA KINONDONI

_________MAREHEMU DONALD MAX___________

NA.

MUDA

TUKIO

MHUSIKA

MAHALI

1.

12:00 - 02:00

Familia kuandaa Mwili wa Marehemu

Familia

Nyumbani

2.

02:00 - 04:00

Taratibu za Kimila

Familia

Nyumbani

3.

04:00 - 05:00

Chai/Chakula

Familia

Nyumbani

4.

04:00 - 05:00

§  Waombolezaji kuwasili katika Viwanja vya Karimjee

Katibu wa Bunge

Karimjee



§  Viongozi wa Vyama vya Siasa,  Waheshimiwa wa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika Nafasi zao

...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda ashiriki mazishi ya Luteni Kanali mstaafu Kitenga

PG4A9643

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitupa mchanga kaburini katika mazishi ya  aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, , marehemu, Luteni Kanali Benedict Kitenga  yaliyofanyika kwenye makaburi ya  Kola, Morogoro mjini Aprili 24, 2015.

PG4A9737

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimfariji Mama Francisca Kitenga baada ya mazishi ya mumewe, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, , marehemu,Luteni Kanali Benedict Kitenga  yaliyofanyika kwenye makaburi ya  Kola , Morogoro mjini Aprili 24, 2015.

PG4A9764

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AONGOZAA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU LUTENI KANALI BENEDICT KITENGA (MSTAAFU) LEO LUGALO

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrishi Kikwete akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu Luteni Kanali Benedict Kitenga (Mstaafu) aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera ambaye alifariki jana asubuhi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mazishi yake yanatarajiwa kufanyika kesho huko Morogoro. Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu Luteni Kanali Benedict Kitenga (Mstaafu) aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera ambaye...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AONGOZAA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU LUTENI KANALI BENEDICT KITENGA (MSTAAFU) LEO LUGALO‏

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrishi Kikwete akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu Luteni Kanali Benedict Kitenga (Mstaafu) aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera ambaye alifariki jana asubuhi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mazishi yake yanatarajiwa kufanyika kesho huko Morogoro Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu Luteni Kanali Benedict Kitenga...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MKUU WA WILAYA YA KYERWA MAREHEMU LUTENI KANALI BENEDICT KITENGA (MSTAAFU) LEO HOSPITALI KUU YA JESHI YA LUGALO, DAR ES SALAAM

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu Luteni Kanali Benedict Kitenga (Mstaafu) aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera ambaye alifariki Dunia juzi asubuhi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mazishi yake yanatarajiwa kufanyika leo huko Morogoro. Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu Luteni Kanali Benedict Kitenga (Mstaafu) aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani