ASHA AFUTARISHA NYUMBANI KWAKE GERMANTOWN, MARYLAND
Wageni mbalimbali waliojitokeza katika futari ya pamoja siku ya Ijumaa July 10, 2015 Germantown, Maryland nyumbani kwa Asha Hariz nyumba anayoishi na Daudi Boma. Picha kwa hisani ya sheikh Omar
Asha Hariz akipata picha na ndiye aliyekua mwenyeji wa wageni wake katika futari ya pamoja.
Ally Mikidadi akipata picha ya upendeleo.
Kutoka kushoto ni Shamis, Daudi Boma na Asha Hariz
Kutoka kushoto ni Raymond, Dedi Luba na Hassan.
Kassim akiwa katika picha ya upendeleo.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF AFUTARISHA MASHEIKH NYUMBANI KWAKE
10 years ago
VijimamboBalozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe, Liberata Mulamula aanda chakula cha jioni kwa baadhi ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao kwa ukanda wa Afrika Mashariki nyumbani kwake Bethesda ,Maryland tarehe 11/02/2015
Balozi wa Ethiopia nchini Marekani na mwenyekiti wa mabalozi wa kanda ya Afrika Mashariki Mhe, Girma Birru akisaini kitabu cha wageni nyumbani kwa Balozi, Mhe Liberata Mulamula.
Balozi wa Uganda nchini Marekani Oliver Wonekha ambaye ni mmoja wa mabalozi kutoka kanda ya Afrika Mashariki akisaini kitabu cha wageni nyumbani kwa Balozi. Mhe Liberata Mulamula.
Balozi wa Burundi nchini Marekani Mhe, Ernest Ndabashinze akisaini kitabu cha wageni nyumbani kwa Balozi Mhe, Liberata Mulamula.
Balozi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tI0XVDWZPKg/VYwTIk24IKI/AAAAAAAHj-E/MvlS-0CkDpk/s72-c/IMG-20150625-WA0006.jpg)
Waziri Dkt Asha-Rose Migiro atua nyumbani Mwanga kupokea wadhamini
![](http://1.bp.blogspot.com/-tI0XVDWZPKg/VYwTIk24IKI/AAAAAAAHj-E/MvlS-0CkDpk/s640/IMG-20150625-WA0006.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D75JXgnBEa8/VYwTIxB4qmI/AAAAAAAHj-I/csjbSpAupaI/s640/IMG-20150625-WA0008.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i1kNr3NCF7w/VYwTJ_dUi-I/AAAAAAAHj-U/Id36y4HiIKs/s640/IMG-20150625-WA0007.jpg)
10 years ago
Habarileo24 Oct
Mfanyabiashara auawa nyumbani kwake
MFANYABIASHARA wa nafaka wa Maili Mbili , Dodoma mjini, Kapteni Mwita maarufu kama Chacha amepigwa risasi tatu na kufa akiwa nyumbani kwake.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4cvPRsQZxTPCxcvyaJIbJznlhD4i7bvHxUTiH*BjDzww*iOyXW-OGo7VqH8EGXabMgbTXUK3zFvWnjsSKGinn5S/lowasaaacopy.jpg?width=650)
LOWASSA AANGUSHA BONGE LA PATI NYUMBANI KWAKE
11 years ago
GPLAMANDA AGEUZA DUKA LA MSHIKAJI NYUMBANI KWAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3ZSopUVDgY0uringvULvw5*z53yXRIZaJorOdw68V7Y7G*gxZdAyhdIgR2EmanXJP0jZzlqvphrSTycVr5rcFMPIHVfkqPA/nishagari.jpg)
NISHA AVAMIWA NYUMBANI KWAKE, APORWA MALI
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Penny Mungilwa Nyumbani kwake kuna klabu ndogo
Mtangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’.
SIKU zote hapa huwa tunawatembelea mastaa mbalimbali nyumbani kwao. Leo tunaye Mtangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’ anayeishi maeneo ya Mwananyamala jijini Dar.
Anaipenda nyumba yake. Ameidizaini mapambo kwani mwenyewe pia anafanya shughuli hiyo na kutengeneza kipato pia. Mbali na kupambwa na vitu tofauti, nyumbani kwake kuna klabu ndogo yenye vinywaji vilivyo na kilevi na vya kwaida.
Kama hiyo haitoshi, kuna eneo maalum aliloweka mtungi wa shisha....
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Baba anyonga mtoto akidai si wa kwake, atoroka nyumbani