Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baba anyonga mtoto akidai si wa kwake, atoroka nyumbani

>Mtoto mchanga wa umri wa wiki mbili, ameuawa kwa kunyongwa shingo na baba yake mzazi, katika ugomvi wa kifamilia, uliotokea katika Kijiji cha Ibamba, wilayani Bukombe, katika Mkoa wa Geita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BABA WA IMELDA MTEMA ALIVYOAGWA NYUMBANI KWAKE JIJINI DAR

Marehemu Florence F. Mtema enzi za uhai wake. Kaka wa marehemu akiwa amebeba msalaba wakati mwili ukitolewa nyumbani.
Mwili wa marehemu ukiwekwa kwenye gari kupelekwa katika Kanisa Katoliki la Ukonga jijini Dar.…

 

10 years ago

Vijimambo

MWALIMU ANYONGA MTOTO WAKE GESTI MWILI HAWACHA KWENYE KORIDO LA HOSPITAL

Jeshi la polisi wilayani Mbogwe mkoani Geita linashikilia mwalimu wa shule ya msingi Kasandalala wilayani humo Laideth Constantine mwenye umri wa miaka 33 baada ya kumnyonga mwanae wa kiume mwenye umri wa miaka 7 akiwa kwenye nyumba ya kulala wageni(Gesti).

Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana ambapo
kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa geita Joseph Konyo amesema tayari wanamshikilia mtuhumiwa baada ya vipimo vya daktari kudhibitisha kuwa mtoto huyo kanyongwa.

Baadhi ya mashuhuda wa tukio...

 

10 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara auawa nyumbani kwake

MFANYABIASHARA wa nafaka wa Maili Mbili , Dodoma mjini, Kapteni Mwita maarufu kama Chacha amepigwa risasi tatu na kufa akiwa nyumbani kwake.

 

9 years ago

Bongo5

Utani Huu: Mpambe wa Ex wa Zari anataka DNA ya mtoto wa Diamond, anadai yeye ni baba, juzi alidai Ivan ndio baba!

Guys kuna mambo mengi sana feki yanaendelea kwenye mitandao ya kijamii. Tena zaidi ni kuwa mengi yanakuja na picha zinazoashiria ukweli lakini katika maisha ya chuki na visasi, kila kitu kinawezekana. Mtoto wa Diamond, Tiffah Bahati mbaya tunaishi kwenye dunia ambayo watu huamini haraka mambo hasi ambayo kwa kawaida husambaa haraka zaidi kuliko yale chanya. […]

 

10 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF AFUTARISHA MASHEIKH NYUMBANI KWAKE

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Sheikh Hassan Hussein (Nyundo), baada ya futari aliyoiandaa kwa ajili ya Masheikh mbali mbali, nyumbani kwake Mbweni Baadhi ya Masheikh wakiongozwa na Mufti Mkuu (wa tatu kushoto) na Kadhi Mkuu (wa nne), wakijiandaa kwa ajili ya sala ya Magharibi kabla ya futari, nyumbani kwa Maalim Seif Mbweni.  Baadhi ya Masheikh na waumini wa dini ya Kiislam, wakijumuika pamoja katika futari iliyoandaliwa na Maalim Seif...

 

11 years ago

GPL

AMANDA AGEUZA DUKA LA MSHIKAJI NYUMBANI KWAKE

  Amanda akiwa ametoa macho kwa mshangao baada ya kuona paparazi akimpiga picha. Akiwa kwenye picha ya pozi. MSANII  wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’, leo amenaswa na kamera yetu dukani kwa watu akiwa ameligeuza kama nyumbani kwake  au mmiliki kutokana na jinsi alivyokuwa amejiachia.…

 

10 years ago

Vijimambo

ASHA AFUTARISHA NYUMBANI KWAKE GERMANTOWN, MARYLAND

Wageni mbalimbali waliojitokeza katika futari ya pamoja siku ya Ijumaa July 10, 2015 Germantown, Maryland nyumbani kwa Asha Hariz nyumba anayoishi na Daudi Boma. Picha kwa hisani ya sheikh OmarAsha Hariz akipata picha na ndiye aliyekua mwenyeji wa wageni wake katika futari ya pamoja. Ally Mikidadi akipata picha ya upendeleo.Kutoka kushoto ni Shamis, Daudi Boma na Asha HarizKutoka kushoto ni Raymond, Dedi Luba na Hassan.Kassim akiwa katika picha ya upendeleo.

 

11 years ago

GPL

LOWASSA AANGUSHA BONGE LA PATI NYUMBANI KWAKE

Stori: Mwandishi Wetu, Arusha
WAZIRI  Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Ngoyai Lowassa ameangusha bonge la pati la kuukaribisha mwaka 2014. Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akizungumza katika sherehe ya mwaka mpya nyumbani kwake Ngarashi Monduli.Pembeni yake ni mkewe mama Regina…

 

10 years ago

GPL

NISHA AVAMIWA NYUMBANI KWAKE, APORWA MALI

Gari la Nisha likiwa limeibiwa baadhi ya vitu. STAA wa filamu za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha' usiku wa kuamkia leo amevamiwa na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wapatao watano nyumbani kwake Kijitonyama jijini Dar na kuporwa baadhi ya mali. Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha'. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Nisha ameandika kuwa majambazi wapatao watano wakiwa na gari walivamia nyumbani kwake na kumpora huku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani