Mfanyabiashara auawa nyumbani kwake
MFANYABIASHARA wa nafaka wa Maili Mbili , Dodoma mjini, Kapteni Mwita maarufu kama Chacha amepigwa risasi tatu na kufa akiwa nyumbani kwake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Mfanyabiashara auawa Moshi
KUNDI la watu wanaodhaniwa kuwa majambazi wakiwa na silaha, wamevamia duka la jumla la kuuza bia na bidhaa mbalimbali na kisha kumuua kwa kumpiga risasi mmiliki wa duka hilo, Respiki...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Mfanyabiashara auawa kwa risasi
MFANYABIASHARA mkazi wa Kijiji cha Katuma wilayani Mpanda, Juma Luhanga (29) ameuawa kwa kupingwa risasi katika jicho lake la kushoto na watu wawili wanaosaidkiwa kuwa majambazi akiwa dukani kwake. Kaimu Kamanda wa Polisi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9ncbHh9lZe3p*hHhTFT9qUGiHTSrz1kLYDg8srr6HX3qTzoYEtYSxrDRSr58Epkhl2iPTehITSVoPRqnQ7L6fm7/BACKUWAZI.jpg)
MFANYABIASHARA AUAWA KWA RISASI GETINI
10 years ago
StarTV14 Jan
Mfanyabiashara auawa, mwingine ajeruhiwa Bunda.
Na Ahmed Makongo,
Bunda Mara.
Mfanyabiashara mmoja wa kuuza samaki ameuawa kwa kupigwa risasi na mtu mwingine kujeruhiwa kwa kupigwa risasi katika matukio mawili tofauti yaliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara.
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoani Mara Philpo Kalangi tukio la kwanza lilitokea Januari 12 mwaka huu majira ya saa 3 usiku katika eneo la Nyasura mjini Bunda ambapo mfanyabiashara huyo akiwa na mke wake wakati wakirejea nyumbani alipigwa risasi na watu wasiofahamika ambao...
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Jan
Mfanyabiashara wa samaki auawa kwa risasi
Na Ahmed Makongo, Bunda
MFANYABIASHARA wa samaki ameuawa kwa kupigwa risasi na mwingine kujeruhiwa kwa risasi katika matukio mawili tofauti, yaliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara.
Kamanda wa Polisi mkoani Mara, Philpo Kalangi, alithibitisha jana kutokea kwa matukio hayo alipozungumza na Uhuru kwa njia ya simu.
Alisema tukio la kwanza lilitokea juzi saa 3:00 usiku, katika eneo la Nyasura mjini hapa.
Alisema mfanyabiashara huyo, Mkome Marwa (39), akiwa na mke wake, wakati wakirejea...
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Majambazi wampiga risasi mfanyabiashara nyumbani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZfKTftH0xy8L1-272ZBhkGvJT*1IikXLTfhMX08m3DWvjqROZyhmixElo-bCM7e3DhMPUEH4eq6AOt0-gavprVT/AHMED.jpg)
MFANYABIASHARA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI MOMBASA, KENYA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cnqcCNboyiY/VOngUPfJ7rI/AAAAAAADaMc/k58T9tRV8Ls/s72-c/20150222_121159.jpg)
MFANYABIASHARA KUTOKA TANZANIA BWA. HASHIMU LEMA AMTEMBELEA MHE. OMAR MJENGA OFISINI KWAKE DUBAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-cnqcCNboyiY/VOngUPfJ7rI/AAAAAAADaMc/k58T9tRV8Ls/s1600/20150222_121159.jpg)
Mhe. Mjenga amemfahamisha fursa nyingi zilizopo Dubai na Ukanda wa Ghuba kwenye sekta hii ya ujenzi, ambako kampuni kutoka Tanzania wanaweza kuwa ni mikataba ya ushirikiano nazo katika utekelezaji wa miradi mbali mbali Tanzania. Njia hii pia itasaidia kuwajengea uwezo na kupata mbinu za teknolojia mpya ( technological Transfer).
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4cvPRsQZxTPCxcvyaJIbJznlhD4i7bvHxUTiH*BjDzww*iOyXW-OGo7VqH8EGXabMgbTXUK3zFvWnjsSKGinn5S/lowasaaacopy.jpg?width=650)
LOWASSA AANGUSHA BONGE LA PATI NYUMBANI KWAKE