Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfanyabiashara auawa Moshi

KUNDI la watu wanaodhaniwa kuwa majambazi wakiwa na silaha, wamevamia duka la jumla la kuuza bia na bidhaa mbalimbali na kisha kumuua kwa kumpiga risasi mmiliki wa duka hilo, Respiki...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara auawa nyumbani kwake

MFANYABIASHARA wa nafaka wa Maili Mbili , Dodoma mjini, Kapteni Mwita maarufu kama Chacha amepigwa risasi tatu na kufa akiwa nyumbani kwake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfanyabiashara auawa kwa risasi

MFANYABIASHARA mkazi wa Kijiji cha Katuma wilayani Mpanda, Juma Luhanga (29) ameuawa kwa kupingwa risasi katika jicho lake la kushoto na watu wawili wanaosaidkiwa kuwa majambazi akiwa dukani kwake. Kaimu Kamanda wa Polisi...

 

10 years ago

GPL

MFANYABIASHARA AUAWA KWA RISASI GETINI

STORI: WAANDISHI WETU/Uwazi
MFANYABIASHARA mwanamama aliyetambulika kwa jina la Prisca Paul Rugeiyamu au Mama Koku (34) ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi nje ya geti la nyumba yake huku mwanaye Careen (12) akishuhudia. Padri akiuombea mwili wa marehemu Prisca Paul Rugeiyamu kanisani. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Januari 12, mwaka huu saa mbili usiku maeneo ya Tabata Segerea jijini Dar ambapo kwa mujibu wa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mfanyabiashara wa samaki auawa kwa risasi



Na Ahmed Makongo, Bunda
MFANYABIASHARA wa samaki ameuawa kwa kupigwa risasi na mwingine kujeruhiwa kwa risasi katika matukio mawili tofauti, yaliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara.
Kamanda wa Polisi mkoani Mara, Philpo Kalangi, alithibitisha jana kutokea kwa matukio hayo alipozungumza na Uhuru kwa njia ya simu.
Alisema tukio la kwanza lilitokea juzi saa 3:00 usiku, katika eneo la Nyasura mjini hapa.
Alisema mfanyabiashara huyo, Mkome Marwa (39), akiwa na mke wake, wakati wakirejea...

 

10 years ago

StarTV

Mfanyabiashara auawa, mwingine ajeruhiwa Bunda.

Na Ahmed Makongo,

Bunda Mara.

 

Mfanyabiashara mmoja wa kuuza samaki ameuawa kwa kupigwa risasi na mtu mwingine kujeruhiwa kwa kupigwa risasi katika matukio mawili tofauti yaliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara.

 

Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoani Mara Philpo Kalangi tukio la kwanza lilitokea Januari 12 mwaka huu majira ya saa 3 usiku katika eneo la Nyasura mjini Bunda ambapo mfanyabiashara huyo akiwa na mke wake wakati wakirejea nyumbani alipigwa risasi na watu wasiofahamika ambao...

 

11 years ago

GPL

MFANYABIASHARA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI MOMBASA, KENYA

Mwili wa marehemu Ahmed Bakhshuwein baada ya kupigwa risasi. Mfanyabiashara, Ahmed Bakhshuwein ameuawa kwa kupigwa risasi tatu kichwani akiwa kwenye gari eneo la Malindi, Mombasa karibu na Al-R azaak Stores nchini Kenya. CREDIT: Michuzi Issa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mfanyabiashara Davis Mosha atangaza kutogombea Ubunge jimbo la Moshi mjini

Aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Moshi mjini,mfanyabiashara Davis Mosha akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Penfold kwa lengo la kuwashukuru wana CCM waliompigia kura. Baadhi ya wana CCM waliohudhuria mkutano huo. Mfanyabiashara Davis Mosha akitangaza uamuzi wake wa kutojihusisha tena na siasa,uamuzi uliosababisha wanaccm kushindwa kujizuia na kuanza kuangua vilio. Baadhi ya wana CCM wakilia kwa uchungu mara baada ya Davis Mosha kutangaza...

 

10 years ago

Vijimambo

MFANYABIASHARA JUMA RAIBU ATANGAZA NIA KUGOMBEA UDIWANI KATA YA PASUA MJINI MOSHI

Umati mkubwa wa wanachi katika kata ya Pasua wakilmsikiliza mfanyabiashara Juma Raibu (hayupo pichani wakati akitangaza nia ya kuwania nafasi ya Udiwani katika kata ya Pasua.Mfanyabiashara Juma Raibu akifutilia kwa makini wahutibiaji wa awali wakati wa mkutano wa hadhara ambao uliandaliwa kwa ajili ya kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Udiwani katika kata ya Pasua.
Baadhi ya wananchi waliohudhulia mkutano huo.Baadhi ya wananchama wa vyama vya upinzani waliojitokeza kurudisha fomu wakati wa...

 

10 years ago

Michuzi

From Moshi to Harvard Presentation by International School Moshi — This Saturday at Seacliff Hotel

International School Moshi welcomes you all to join us for a presentation and find out how we helped one of our students get into Harvard University. When: Feb 14th, 10:00 AM | Where: Sea Cliff Hotel, Dar es Salaam For more info please visit us on www.ismoshiarusha.org

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani