Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Penny Mungilwa Nyumbani kwake kuna klabu ndogo

Penny (4)Mtangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’.

SIKU zote hapa huwa tunawatembelea mastaa mbalimbali nyumbani kwao. Leo tunaye Mtangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’ anayeishi maeneo ya Mwananyamala jijini Dar.

Penny (9)Anaipenda nyumba yake. Ameidizaini mapambo kwani mwenyewe pia anafanya shughuli hiyo na kutengeneza kipato pia. Mbali na kupambwa na vitu tofauti, nyumbani kwake kuna klabu ndogo yenye vinywaji vilivyo na kilevi na vya kwaida.

Penny (10)
Kama hiyo haitoshi, kuna  eneo maalum aliloweka mtungi wa shisha....

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara auawa nyumbani kwake

MFANYABIASHARA wa nafaka wa Maili Mbili , Dodoma mjini, Kapteni Mwita maarufu kama Chacha amepigwa risasi tatu na kufa akiwa nyumbani kwake.

 

11 years ago

GPL

LOWASSA AANGUSHA BONGE LA PATI NYUMBANI KWAKE

Stori: Mwandishi Wetu, Arusha
WAZIRI  Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Ngoyai Lowassa ameangusha bonge la pati la kuukaribisha mwaka 2014. Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akizungumza katika sherehe ya mwaka mpya nyumbani kwake Ngarashi Monduli.Pembeni yake ni mkewe mama Regina…

 

10 years ago

Vijimambo

ASHA AFUTARISHA NYUMBANI KWAKE GERMANTOWN, MARYLAND

Wageni mbalimbali waliojitokeza katika futari ya pamoja siku ya Ijumaa July 10, 2015 Germantown, Maryland nyumbani kwa Asha Hariz nyumba anayoishi na Daudi Boma. Picha kwa hisani ya sheikh OmarAsha Hariz akipata picha na ndiye aliyekua mwenyeji wa wageni wake katika futari ya pamoja. Ally Mikidadi akipata picha ya upendeleo.Kutoka kushoto ni Shamis, Daudi Boma na Asha HarizKutoka kushoto ni Raymond, Dedi Luba na Hassan.Kassim akiwa katika picha ya upendeleo.

 

10 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF AFUTARISHA MASHEIKH NYUMBANI KWAKE

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Sheikh Hassan Hussein (Nyundo), baada ya futari aliyoiandaa kwa ajili ya Masheikh mbali mbali, nyumbani kwake Mbweni Baadhi ya Masheikh wakiongozwa na Mufti Mkuu (wa tatu kushoto) na Kadhi Mkuu (wa nne), wakijiandaa kwa ajili ya sala ya Magharibi kabla ya futari, nyumbani kwa Maalim Seif Mbweni.  Baadhi ya Masheikh na waumini wa dini ya Kiislam, wakijumuika pamoja katika futari iliyoandaliwa na Maalim Seif...

 

11 years ago

GPL

AMANDA AGEUZA DUKA LA MSHIKAJI NYUMBANI KWAKE

  Amanda akiwa ametoa macho kwa mshangao baada ya kuona paparazi akimpiga picha. Akiwa kwenye picha ya pozi. MSANII  wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’, leo amenaswa na kamera yetu dukani kwa watu akiwa ameligeuza kama nyumbani kwake  au mmiliki kutokana na jinsi alivyokuwa amejiachia.…

 

10 years ago

GPL

NISHA AVAMIWA NYUMBANI KWAKE, APORWA MALI

Gari la Nisha likiwa limeibiwa baadhi ya vitu. STAA wa filamu za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha' usiku wa kuamkia leo amevamiwa na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wapatao watano nyumbani kwake Kijitonyama jijini Dar na kuporwa baadhi ya mali. Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha'. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Nisha ameandika kuwa majambazi wapatao watano wakiwa na gari walivamia nyumbani kwake na kumpora huku...

 

9 years ago

Mwananchi

Membe: Tulikuwa ‘tunagongana’ angani utadhani nyumbani kuna moto

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amempongeza Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli kwa kupiga marufuku safari za nje ya nchi, akisema mawaziri na watendaji wa Serikali walikuwa “wakigongana” angani na ndege utadhani Tanzania ilikuwa ikiwaka moto.

 

11 years ago

Mwananchi

Baba anyonga mtoto akidai si wa kwake, atoroka nyumbani

>Mtoto mchanga wa umri wa wiki mbili, ameuawa kwa kunyongwa shingo na baba yake mzazi, katika ugomvi wa kifamilia, uliotokea katika Kijiji cha Ibamba, wilayani Bukombe, katika Mkoa wa Geita.

 

9 years ago

Dewji Blog

Balozi wa Iran amtembelea Mzee Mwinyi nyumbani kwake

OTH_4912

Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kulia) akikabidhi Picha kwa Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mh. Mehdi Aghajafari, inayoonyesha sehemu ya Utamaduni wa Tanzania, wakati alipomtembelea Nyumbani kwake, Mikocheni, Jijini Dar es salaam Disemba 14, 2015.

OTH_4897

Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kulia) akikabidhi Picha yake rasmi kwa Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mh. Mehdi Aghajafari,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani