mwili wa george tyson ulipowasili Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-dS1oA4jyc-Y/U4rdUIy7IsI/AAAAAAAFm3k/aNw1WfAg5wo/s72-c/GEORGETYSONKIFO7.jpg)
Dada wa marehemu Tyson, Doreen akilia kwa simanzi baada ya mwili wa kaka yake kuwasili katika hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es salaam jana jioni.
Jeneza lenye mwili wa George Tyson likiingizwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki, Mikocheni jijini Dar.
Wadau wa tasnia ya filamu wakiwa na jeneza la Mwili wa Tyson ukiwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki.
PICHA NA GPL
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMWILI WA GEORGE TYSON WAWASILI KAIRUKI, VILIO VYATAWALA
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa George Tyson kuupeleka mochwari. Jeneza lenye mwili wa George Tyson likiingizwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki, Mikocheni jijini Dar.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YggPED4*T7sOxD5Wed1pM-BQJ32-ys2wZvc4Ftv-Aghra1smsd5oIlvNruQQAln*GAkQ24OnXSKLTSPIiGOcpFk/11KUAGWATYSON12.jpg)
MWILI WA GEORGE OTIENO 'TYSON' WAANZA KUAGWA LEADERS CLUB
Jeneza lenye mwili wa marehemu George Otieno 'Tyson' likiwa Viwanja vya Leaders tayari kwa shughuli za kuagwa. Jeneza lenye mwili wa marehemu George Otieno 'Tyson' likiwa mbele ya baadhi ya waombolezaji.…
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SAA4EGYhkxc/U48_aekqvEI/AAAAAAAFni0/rBpD-1poN04/s72-c/2.jpg)
MAREHEMU GEORGE TYSON AAGWA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-SAA4EGYhkxc/U48_aekqvEI/AAAAAAAFni0/rBpD-1poN04/s1600/2.jpg)
Sehemu ya Wacheza Filamu nchini waliokuwa wamebeba Jeneza lenye Mwili wa Marehemu George Otieno Okomu (George Tyson) wakijipanga tayari kwa akili ya kuongoza shughuli ya Kuga mwili iliyofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club,Kinondoni jijini Dar es Salaam leo.Mwili huo umesafirishwa kupelekwa nchini Kenya ambako ni nyumbani kwao na Marehemu kwa ajili ya mazishi yatakayofanyika Jumamosi ijayo baada ya kukamiliza kwa mipango yote.
![](http://2.bp.blogspot.com/-BjNfoqMXnVM/U48_nmB1WGI/AAAAAAAFnkA/JnGKD_1GAss/s1600/29.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Saddick...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9KcmNY6LNFldtS5zJWz2BliVhgCixVUVtqmCbG4gKYI3LyuB9caFGt*SB0XnfRyBs7cQGc8-7Rtn5W2EUTBJbtD-/IMG20140531WA0005.jpg)
KUTOKA KATIKA MSIBA WA GEORGE TYSON MBEZI MAKONDE JIJINI DAR
Yvonney Chery ‘Monalisa’ akiwa na simanzi kubwa.
Kulia ni mke wa marehemu George Tyson akiwa msibani. (PICHA NA GLOBAL WhatsApp +0753 715 779 : Hamida…
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MAREHEMU GEORGE LIUNDI KARIMJEE JIJINI DAR
Rais Jakaya Kikwete akiwasili Viwanja vya Karimjee kuaga mwili wa marehemu George Liundi. Jeneza lenye mwili wa marehemu Bakari George Liundi likiwa mbele ya waombolezaji.…
11 years ago
GPL31 May
GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA
Mwongozi filamu na aliyekuwa mume wa msanii wa filamu Monalisa, George Tyson amefariki dunia baada ya kupata ajali mbaya ya gari Morogoro akitokea mkoani Dodoma.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-r2zeSO-Tf9Q/U4zPDPXg7sI/AAAAAAAFnTg/9-1OF86EeEg/s72-c/tyson.jpg)
UPDATES ZA MSIBA WA GEORGE TYSON
![](http://1.bp.blogspot.com/-r2zeSO-Tf9Q/U4zPDPXg7sI/AAAAAAAFnTg/9-1OF86EeEg/s1600/tyson.jpg)
Mwili utakuwepo nyumbani hapo mpaka siku ya Jumatano Juni 4,ambapo mwili utapelekwa kwenye viwanya vya Leaders Club,Kinondoni kwa ajili ya shughuli ya kuaga mwili na ibada fupi.
Baadae mwili utapelekwa kwenye Uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere tayari kwa kusafirishwa kwenye jijini Nairobi nchini Kenya kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm86BzgOJzqGaYLNzW3IcnSzJ*XOj*t9tKo02ghSvkAaTbP1ZNsimgiWK15np3BAJWlydPS5pFqsLZytcb0YR5Wo/mona.jpg)
MIRATHI YA GEORGE TYSON, MONA ACHARUKA
Oohoo nooo! Wakati aliyekuwa mumewe, George Otieno Okumu ‘Tyson’ (41) akipumzishwa kwenye nyumba ya milele huko Kisumu nchini Kenya, Yvone-Cherry Ngatikwa ‘Monalisa’ amewacharukia watu waliodai alikuwa akijipendekeza msibani ili kupata mirathi ya mwanaume huyo. Muigizaji wa Bongo Muvi, Yvone-Cherry Ngatikwa ‘Monalisa’ akiwa na mwanaye, Sonia. Awali, Mona ambaye ni staa mkubwa wa sinema za...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania