Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUACHIA VIDEO YA KIBAO CHAKE CHA "NICE COUPLE" KWENYE CHANEL YA TRACE LEO.


Mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Star Nalimi Mayunga ameachiakibao chake kipya cha " Nice Couple" video itakayorushwa kuanzia leokatika kituo cha DSTV chanel ya Trace Urban 325
MWANZONI mwa mwezi huu, Mshindi huyo wa Airtel Trace Music star alituamjini Johannesburg South Afrika akitokea nchini Tanzania  ili kuanzasafari yake kujiendeleza kimuziki na kufikia ndoto zake mara baada yakuibuka mshindi wa mashindano makubwa yaliyoshirikisha nchi 13 baraniAfrika  yaliyofanyika tarehe 18...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Mshindi wa Airtel Trace Nalimi Mayunga kukutana na Akon Marekani

Mshindi wa shindano la muziki la Airtel Trace Music Stars Afrika Nalimi Mayunga anatarajiwa kuondoka nchini jumatatu ya tarehe 16 novemba kwenda Marekani kwaajili ya mafunzo na kurekodi single yake na mwanamuziki Nguli Duniani, Msenegal Akon.
Mayunga aliibuka kuwa mshindi wa Airtel Trace Afrika katika mashindano yaliyoshirikisha nchi 13 barani Afrika yaliyofanyika nchini Kenya mwanzoni mwa mwaka huu na kujishindia zawadi nono ikiwemo deal ya kurekodi wimbo na video pamoja na kupata...

 

9 years ago

GPL

MSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUKUTANA NA AKON MAREKANI‏

Nalimi Mayunga akiimba katika michuano ya Airtel Trace Music Stars Afrika Mshindi wa shindano la musiki la Airtel Trace Music Stars Afrika , Nalimi Mayunga anatarajiwa kuondoka nchini jumatatu ya tarehe 16 novemba kwenda Marekani kwaajili ya mafunzo na kurekodi single yake na mwanamuziki Nguli Akon. Malimi Mayunga aliibuka kuwa mshindi wa Airtel Trace Afrika katika mashindano yaliyoshirikisha nchi 13 barani Afrika...

 

10 years ago

Habarileo

Mshindi wa Airtel Trace aibuka na Nice Couple

MSHINDI wa shindano la Airtel Trace Music Star, Nalimi Mayunga ameachia kibao kipya cha “ Nice Couple” pamoja na video yake.

 

10 years ago

GPL

MAYUNGA MSHINDI WA AIRTEL TRACE MUSIC STAR AFRIKA

Nalimi Mayunga (katikati) akiwa amefurahi hadi akitaka kuanguka baada ya kutangazwa mshindi kwenye Shindano la Airtel Trace Music Star.
Mayunga (kushoto) akiwa haamini kama jina lake ndio limetajwa ndiye mshindi wa shindano hilo.…

 

9 years ago

Michuzi

mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Stars Malimi Mayunga aenda marekani, kuimba na akon

Nalimi Mayunga , mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Stars Afrika, ameondoka nchini Jana kuelekea nchini Marekani kwa lengo la kupata mafunzo na kurekodi nyimbo yake Nalimi ameondoka usiku usiku wa kuamkia leo  kwenda kufanya kazi na nguli wa mzuki wa R&B nchini Marekani Bwana Akon ambapo anatarajiwa kukaa muda wa wiki moja kisha kurejea nyumbani tarehe 24 Novemba. Akiongea wakati halfa ya kumuaga, Afisa habari mwandamizi wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Aristide Kwizera alisema”...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel Trace Music Star Tanzania Winner, Mayunga Wins 50M

By JoettIn a text message after the February 7, 2015 competition, I wrote... "Mayunga, I have waited YEARS to meet someone like you. It has been an honor to work with you. I feel truly blessed. With YOU I know Tanzania has found a TRUE star who will carry the Tanzanian flag to the WORLD. You are the next Michael Jackson, and what REALLY delights me is that you are TANZANIAN. The doors to my studio are open to you for ALWAYS. Now let's go out there and show the world what we Tanzanians are...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzanian Mayunga Malimi is the winner of Airtel TRACE Music Star grand finale!

You chose Mayunga Nalimi! Tanzania’s contestant seduced you and the judges Akon, Lynnsha and Devyne Stephens. After a finale full of unexpected developments, Mayunga has been one of the only to keep his calm during his performances. That’s probably why he fainted just after he heard final verdict!

Mayunga Malimi has quickly attracted judges’ eyes with great live and acapella performances. He also took advantage of Laurna and Jitey failures in the last round of the finale to take the title...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani