MSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUKUTANA NA AKON MAREKANI
![](http://api.ning.com:80/files/ldPIfFy3ff0zDmjfn08Z1o7ZI3PROuQafz3McoG9lq91GuNKjeQORgAh*KxTdFtHM2KV2vQgRgiy2-soRvfGXHJsvreO4fp*/RadekArtPhoto6098.jpg?width=650)
Nalimi Mayunga akiimba katika michuano ya Airtel Trace Music Stars Afrika Mshindi wa shindano la musiki la Airtel Trace Music Stars Afrika , Nalimi Mayunga anatarajiwa kuondoka nchini jumatatu ya tarehe 16 novemba kwenda Marekani kwaajili ya mafunzo na kurekodi single yake na mwanamuziki Nguli Akon. Malimi Mayunga aliibuka kuwa mshindi wa Airtel Trace Afrika katika mashindano yaliyoshirikisha nchi 13 barani Afrika...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4nRKuOE6J_A/VkWML-UF97I/AAAAAAAIFm4/mgufi1Um0Ac/s72-c/RadekArtPhoto-6260.jpg)
Mshindi wa Airtel Trace Nalimi Mayunga kukutana na Akon Marekani
![](http://4.bp.blogspot.com/-4nRKuOE6J_A/VkWML-UF97I/AAAAAAAIFm4/mgufi1Um0Ac/s400/RadekArtPhoto-6260.jpg)
Mayunga aliibuka kuwa mshindi wa Airtel Trace Afrika katika mashindano yaliyoshirikisha nchi 13 barani Afrika yaliyofanyika nchini Kenya mwanzoni mwa mwaka huu na kujishindia zawadi nono ikiwemo deal ya kurekodi wimbo na video pamoja na kupata...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zOltqygyYsg/VkofcrwTuJI/AAAAAAAIGQ0/YdDVj3iFiAM/s72-c/58497eff-e738-40cc-b7ba-b2600a229eb8.jpg)
mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Stars Malimi Mayunga aenda marekani, kuimba na akon
Nalimi Mayunga , mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Stars Afrika, ameondoka nchini Jana kuelekea nchini Marekani kwa lengo la kupata mafunzo na kurekodi nyimbo yake Nalimi ameondoka usiku usiku wa kuamkia leo kwenda kufanya kazi na nguli wa mzuki wa R&B nchini Marekani Bwana Akon ambapo anatarajiwa kukaa muda wa wiki moja kisha kurejea nyumbani tarehe 24 Novemba. Akiongea wakati halfa ya kumuaga, Afisa habari mwandamizi wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Aristide Kwizera alisema”...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ipxaxjznh3w/Vbs5AWv8CSI/AAAAAAAHs6Y/gfNdl8vt_OY/s72-c/POST-inta-nicecouple.jpg)
MSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUACHIA VIDEO YA KIBAO CHAKE CHA "NICE COUPLE" KWENYE CHANEL YA TRACE LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ipxaxjznh3w/Vbs5AWv8CSI/AAAAAAAHs6Y/gfNdl8vt_OY/s640/POST-inta-nicecouple.jpg)
Mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Star Nalimi Mayunga ameachiakibao chake kipya cha " Nice Couple" video itakayorushwa kuanzia leokatika kituo cha DSTV chanel ya Trace Urban 325
MWANZONI mwa mwezi huu, Mshindi huyo wa Airtel Trace Music star alituamjini Johannesburg South Afrika akitokea nchini Tanzania ili kuanzasafari yake kujiendeleza kimuziki na kufikia ndoto zake mara baada yakuibuka mshindi wa mashindano makubwa yaliyoshirikisha nchi 13 baraniAfrika yaliyofanyika tarehe 18...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/PICT-1-001.jpg?width=650)
MAYUNGA NALIMI AELEKEA MAREKANI KUREKODI VIDEO NA AKON
Mshindi wa Airtel Trace Music Stars, Mayunga Nalimi akiongea na waandishi (hawapo pichani) wakati wa tukio la kumuaga kwa ajili ya kwenda nchini Marekani. Hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika katika Makao Makuu ya Ofisi ya Airtel Morocco jijini Dar Es Salaam. Pichani katikati ni Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde, akifatiwa na Mwalimu wa sauti Tony Joet. Ofisa Uhusiano na Mwandamizi wa Baraza la Sanaa la Taifa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvvIM29Hv*HKsmKr9hLet8DZ-ivGMgX4*nFznwuXvfaFNbQhMem4ZNwptGouJL2bl*w2NH0kB8eZssRKzppbmR9f/AIRTEL.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo5mrnm23p*-20260QoXNQy5jFZwwxfN0V9QAj7D5C-JUCuAFWHLA3BlmAJNDZrC5bfcW43XDWucVVucwW9KgHRD/Mayungaalipotezafahamumarabaadayakutangazwamshindi.jpg)
MAYUNGA MSHINDI WA AIRTEL TRACE MUSIC STAR AFRIKA
Nalimi Mayunga (katikati) akiwa amefurahi hadi akitaka kuanguka baada ya kutangazwa mshindi kwenye Shindano la Airtel Trace Music Star.
Mayunga (kushoto) akiwa haamini kama jina lake ndio limetajwa ndiye mshindi wa shindano hilo.…
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BE_93CBGZsY/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Keyyom9unUg/Vl6jkV39VuI/AAAAAAAIJqw/4hRGIEvkAc4/s72-c/Pic%2B2.jpg)
MSHINDI WA AIRTEL TRACE APATA UJUZI MPYA TOKA KWA AKON
![](http://3.bp.blogspot.com/-Keyyom9unUg/Vl6jkV39VuI/AAAAAAAIJqw/4hRGIEvkAc4/s640/Pic%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OHCNkUPZRoY/Vl6jmCQQInI/AAAAAAAIJrI/b5iDxdtgzGk/s640/Pic%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NQ5ZJecLakY/VSvxuPyMOCI/AAAAAAAC3HE/wAFrFHEreKY/s72-c/unnamed.png)
MSHINDI WA SHINDANO LA AIRTEL TRACE STARS AFRICA KUTANGAZWA RASMI NA AKON APRIL 18, 2015
Dar es Salaam, 13 April 2015 Finali ya shindano la Airtel Trace Music Stars Afrika lililoshirikisha washiriki kutoka nchi 13 barani Afrika chini ya majaji mahiri akiwemo Akon, Devyne Stephens na Lynnsha mwisho mwa wiki hii watashirikiana kumtanga rasmi mshindi wa Airtel Trace Afrika.
Airtel kupitia taarifa yake iliyotumwa na ofisa uhusiano wake Jane Matinde imesema “Shughuli nzima ya kumtangaza mshindi itaonyeshwa kupitia chanel ya Trace inayopatikana katika kituo cha DSTV #325 siku ya...
![](http://3.bp.blogspot.com/-NQ5ZJecLakY/VSvxuPyMOCI/AAAAAAAC3HE/wAFrFHEreKY/s1600/unnamed.png)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania