MSHINDI WA SHINDANO LA AIRTEL TRACE STARS AFRICA KUTANGAZWA RASMI NA AKON APRIL 18, 2015
![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvvIM29Hv*HKsmKr9hLet8DZ-ivGMgX4*nFznwuXvfaFNbQhMem4ZNwptGouJL2bl*w2NH0kB8eZssRKzppbmR9f/AIRTEL.jpg?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NQ5ZJecLakY/VSvxuPyMOCI/AAAAAAAC3HE/wAFrFHEreKY/s72-c/unnamed.png)
MSHINDI WA SHINDANO LA AIRTEL TRACE STARS AFRICA KUTANGAZWA RASMI NA AKON APRIL 18, 2015
Dar es Salaam, 13 April 2015 Finali ya shindano la Airtel Trace Music Stars Afrika lililoshirikisha washiriki kutoka nchi 13 barani Afrika chini ya majaji mahiri akiwemo Akon, Devyne Stephens na Lynnsha mwisho mwa wiki hii watashirikiana kumtanga rasmi mshindi wa Airtel Trace Afrika.
Airtel kupitia taarifa yake iliyotumwa na ofisa uhusiano wake Jane Matinde imesema “Shughuli nzima ya kumtangaza mshindi itaonyeshwa kupitia chanel ya Trace inayopatikana katika kituo cha DSTV #325 siku ya...
![](http://3.bp.blogspot.com/-NQ5ZJecLakY/VSvxuPyMOCI/AAAAAAAC3HE/wAFrFHEreKY/s1600/unnamed.png)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zOltqygyYsg/VkofcrwTuJI/AAAAAAAIGQ0/YdDVj3iFiAM/s72-c/58497eff-e738-40cc-b7ba-b2600a229eb8.jpg)
mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Stars Malimi Mayunga aenda marekani, kuimba na akon
Nalimi Mayunga , mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Stars Afrika, ameondoka nchini Jana kuelekea nchini Marekani kwa lengo la kupata mafunzo na kurekodi nyimbo yake Nalimi ameondoka usiku usiku wa kuamkia leo kwenda kufanya kazi na nguli wa mzuki wa R&B nchini Marekani Bwana Akon ambapo anatarajiwa kukaa muda wa wiki moja kisha kurejea nyumbani tarehe 24 Novemba. Akiongea wakati halfa ya kumuaga, Afisa habari mwandamizi wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Aristide Kwizera alisema”...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ldPIfFy3ff0zDmjfn08Z1o7ZI3PROuQafz3McoG9lq91GuNKjeQORgAh*KxTdFtHM2KV2vQgRgiy2-soRvfGXHJsvreO4fp*/RadekArtPhoto6098.jpg?width=650)
MSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUKUTANA NA AKON MAREKANI
Nalimi Mayunga akiimba katika michuano ya Airtel Trace Music Stars Afrika Mshindi wa shindano la musiki la Airtel Trace Music Stars Afrika , Nalimi Mayunga anatarajiwa kuondoka nchini jumatatu ya tarehe 16 novemba kwenda Marekani kwaajili ya mafunzo na kurekodi single yake na mwanamuziki Nguli Akon. Malimi Mayunga aliibuka kuwa mshindi wa Airtel Trace Afrika katika mashindano yaliyoshirikisha nchi 13 barani Afrika...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4nRKuOE6J_A/VkWML-UF97I/AAAAAAAIFm4/mgufi1Um0Ac/s72-c/RadekArtPhoto-6260.jpg)
Mshindi wa Airtel Trace Nalimi Mayunga kukutana na Akon Marekani
![](http://4.bp.blogspot.com/-4nRKuOE6J_A/VkWML-UF97I/AAAAAAAIFm4/mgufi1Um0Ac/s400/RadekArtPhoto-6260.jpg)
Mayunga aliibuka kuwa mshindi wa Airtel Trace Afrika katika mashindano yaliyoshirikisha nchi 13 barani Afrika yaliyofanyika nchini Kenya mwanzoni mwa mwaka huu na kujishindia zawadi nono ikiwemo deal ya kurekodi wimbo na video pamoja na kupata...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Keyyom9unUg/Vl6jkV39VuI/AAAAAAAIJqw/4hRGIEvkAc4/s72-c/Pic%2B2.jpg)
MSHINDI WA AIRTEL TRACE APATA UJUZI MPYA TOKA KWA AKON
![](http://3.bp.blogspot.com/-Keyyom9unUg/Vl6jkV39VuI/AAAAAAAIJqw/4hRGIEvkAc4/s640/Pic%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OHCNkUPZRoY/Vl6jmCQQInI/AAAAAAAIJrI/b5iDxdtgzGk/s640/Pic%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TxtOkrnBHmI/VMtxHeM1G_I/AAAAAAAHAYA/qzrqamioPJE/s72-c/picture%2B1.jpg)
Airtel yatangaza tano bora ya shindano la Airtel Trace Music Stars
![](http://2.bp.blogspot.com/-TxtOkrnBHmI/VMtxHeM1G_I/AAAAAAAHAYA/qzrqamioPJE/s1600/picture%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rql6KdR8RR4/VMtxHTeGaEI/AAAAAAAHAX4/1uB7gumgUcU/s1600/picture%2B2%2BT.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rKAdjkzzQWY/VJlIG6-Ue1I/AAAAAAAG5X8/azkcDGLiqWk/s72-c/pic3.jpg)
Airtel yatangaza kumi bora wa wiki wa shindano la Airtel Trace Music Stars
![](http://4.bp.blogspot.com/-rKAdjkzzQWY/VJlIG6-Ue1I/AAAAAAAG5X8/azkcDGLiqWk/s1600/pic3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w-dHSgYd9_s/VJlIFsZlDOI/AAAAAAAG5Xw/zUwRmU40tlo/s1600/pic%2B1.jpg)
10 years ago
Bongo516 Jan
Benjamin Webi aibuka mshindi wa shindano la Airtel TRACE Music Star Kenya
Kampuni ya simu ya Airtel Kenya na Trace International imemtangaza Benjamin Webi kama mshindi wa shindano la Airtel TRACE Music Star upande wa Kenya. Shindano hilo lililoanza October 5, 2014 ni la kipekee kwakuwa waimbaji walikuwa wakishiriki kwa kujirekodi kwenye simu zao.Nafasi ya pili imekamatwa na Phyllis Mwihaki huku nafasi ya tatu ikienda kwa Trina […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zdyFMqJvbXLvyqhgck5dDpAVwThApV30jUG26HRBK-KOWNWDFCcGdAhfCJU-Jn8V*HtPP8E3umND7WXgCHTa2HQc3WD3nG8t/Pic1.jpg?width=750)
AIRTEL YAIPELEKA AIRTEL TRACE MUSIC STARS MIKOANI
Msanii chipukizi wa kijiwe cha Matofali jijini Morogoro ajulikanaye kwa jina la Jibwa Kali akionyesha umahiri wake wa kuimba wakati Airtel ilipotembelea vijiwe mbalimbali mkonia Morogoro na kuzindua mashindano ya Airtel Trace Mkoani humo.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania