AIRTEL YAIPELEKA AIRTEL TRACE MUSIC STARS MIKOANI
![](http://api.ning.com:80/files/zdyFMqJvbXLvyqhgck5dDpAVwThApV30jUG26HRBK-KOWNWDFCcGdAhfCJU-Jn8V*HtPP8E3umND7WXgCHTa2HQc3WD3nG8t/Pic1.jpg?width=750)
Msanii chipukizi wa kijiwe cha Matofali jijini Morogoro ajulikanaye kwa jina la Jibwa Kali akionyesha umahiri wake wa kuimba wakati Airtel ilipotembelea vijiwe mbalimbali mkonia Morogoro na kuzindua mashindano ya Airtel Trace Mkoani humo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kDPBsZ3yB0I/VE9X4hEN5MI/AAAAAAACtuc/ymetakC-MKs/s72-c/Pic%2B2.jpg)
Airtel yaipeleka Airtel Trace Music Stars Mikoani
![](http://3.bp.blogspot.com/-kDPBsZ3yB0I/VE9X4hEN5MI/AAAAAAACtuc/ymetakC-MKs/s1600/Pic%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p9auZVGJ_BY/VE9YI4NXDAI/AAAAAAACtus/KQW5zxZKsh8/s1600/Pic%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TxtOkrnBHmI/VMtxHeM1G_I/AAAAAAAHAYA/qzrqamioPJE/s72-c/picture%2B1.jpg)
Airtel yatangaza tano bora ya shindano la Airtel Trace Music Stars
![](http://2.bp.blogspot.com/-TxtOkrnBHmI/VMtxHeM1G_I/AAAAAAAHAYA/qzrqamioPJE/s1600/picture%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rql6KdR8RR4/VMtxHTeGaEI/AAAAAAAHAX4/1uB7gumgUcU/s1600/picture%2B2%2BT.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rKAdjkzzQWY/VJlIG6-Ue1I/AAAAAAAG5X8/azkcDGLiqWk/s72-c/pic3.jpg)
Airtel yatangaza kumi bora wa wiki wa shindano la Airtel Trace Music Stars
![](http://4.bp.blogspot.com/-rKAdjkzzQWY/VJlIG6-Ue1I/AAAAAAAG5X8/azkcDGLiqWk/s1600/pic3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w-dHSgYd9_s/VJlIFsZlDOI/AAAAAAAG5Xw/zUwRmU40tlo/s1600/pic%2B1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3OkzT*Y-rBtbYFerU81svdy1qlR6anJkOAKEP5EXAE5wmf2HkXfQt6G9DKvkwzfyPa6I-wjnAhjsImnTLntz9rq2/pic1.jpg?width=650)
AIRTEL TRACE MUSIC STARS YATANGAZA 10 BORA LEO
Kushoto ni Meneja uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipotangaza washiriki waliongia nafasi ya kumi bora katika mashindano ya Airtel Trace Music Stars kwa wiki hii. Kulia ni Aneth Muga Meneja Masoko wa Airtel anaesimamia mashindano hayo ya Airte Trace Music Stars. Hafla ya kutangaza washiriki hao10 bora imefanyika makao makuu ya Airtel jijini dar es salaam leo.… ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ha6r1owNO10/VDPp-D27ZRI/AAAAAAAGogs/EKeG4HKHqGg/s72-c/pic%2B1.jpg)
Airtel yaandaa uzinduzi wa Airtel Music Trace kesho Coco Beach
Kampuni ya simu za mkononi Airtel inawatangazia wateja wake, wasanii na wanamuziki kuwa yale mashindano yanayotoa fulsa kwa wenye vipaji ya Airtel Trace yanazinduliwa rasmi kesho katika viwanja vya Coco beach jijini Dar es saalam kuanzia saa 12 jioni.
Uzinduzi huu utawashirikisha wasanii Wakali nchini akiwemo Ommy Dimples pamoja na kundi zima la ya YAMOTO BAND kwa burudani kabambe kwa umati utakao jitokeza hapo kesho katika viwanja hivyo.
Akitoa maelezo kuhusu uzinduzi huo, Meneja Masoko wa...
Uzinduzi huu utawashirikisha wasanii Wakali nchini akiwemo Ommy Dimples pamoja na kundi zima la ya YAMOTO BAND kwa burudani kabambe kwa umati utakao jitokeza hapo kesho katika viwanja hivyo.
Akitoa maelezo kuhusu uzinduzi huo, Meneja Masoko wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e4bJBf-0bvg/VOdWhT8jHoI/AAAAAAAHE0E/Ulx_v9GOayk/s72-c/PICT%2B1_0790.jpg)
Airtel yamtangaza Bingwa wa Airtel Trace Music, yamzawadia milioni 50
Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel leo imemtangaza rasmi mshindi wa shindano la Airtel Trace Music star, shindano lilidumu kwa muda wa miezi mitatu maalum kwa wasanii chipukizi kuweza kuimba na kutuma nyimbo zao kwa kutumia simu zao za mkononi kama studio kwa lengo la kusaka na kuibua vipaji kwa wanamuziki chipukizi nchini.
Akiongea na waandishi wa habari Meneja Masoko wa Airtel Aneth Muga alisema"Leo tunayofuraha kubwa kumtangaza mshindi wetu wa shindano la Airtel Trace Music Stars mara...
Akiongea na waandishi wa habari Meneja Masoko wa Airtel Aneth Muga alisema"Leo tunayofuraha kubwa kumtangaza mshindi wetu wa shindano la Airtel Trace Music Stars mara...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zOltqygyYsg/VkofcrwTuJI/AAAAAAAIGQ0/YdDVj3iFiAM/s72-c/58497eff-e738-40cc-b7ba-b2600a229eb8.jpg)
mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Stars Malimi Mayunga aenda marekani, kuimba na akon
Nalimi Mayunga , mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Stars Afrika, ameondoka nchini Jana kuelekea nchini Marekani kwa lengo la kupata mafunzo na kurekodi nyimbo yake Nalimi ameondoka usiku usiku wa kuamkia leo kwenda kufanya kazi na nguli wa mzuki wa R&B nchini Marekani Bwana Akon ambapo anatarajiwa kukaa muda wa wiki moja kisha kurejea nyumbani tarehe 24 Novemba. Akiongea wakati halfa ya kumuaga, Afisa habari mwandamizi wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Aristide Kwizera alisema”...
10 years ago
Bongo506 Nov
Una kipaji cha kuimba? Airtel Trace Music Stars inaweza kubadilisha maisha yako!
Kuna vipaji vingi vya muziki hapa nchini ambavyo kutokana na sababu mbalimbali, vimeshindwa kuonekana. Kikwazo kikubwa ni gharama za kuingia studio na kurekodi wimbo wenye kiwango kizuri cha kuchezwa redioni. Hata kwa wale waliofanikiwa kurekodi nyimbo zao, bado wanakutana na vikwazo vingi pale wanapopeleka nyimbo zao kwenye vituo vya redio. Kutokana na kuwepo wingi wa […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania