Airtel yaandaa uzinduzi wa Airtel Music Trace kesho Coco Beach

Kampuni ya simu za mkononi Airtel inawatangazia wateja wake, wasanii na wanamuziki kuwa yale mashindano yanayotoa fulsa kwa wenye vipaji ya Airtel Trace yanazinduliwa rasmi kesho katika viwanja vya Coco beach jijini Dar es saalam kuanzia saa 12 jioni.
Uzinduzi huu utawashirikisha wasanii Wakali nchini akiwemo Ommy Dimples pamoja na kundi zima la ya YAMOTO BAND kwa burudani kabambe kwa umati utakao jitokeza hapo kesho katika viwanja hivyo.
Akitoa maelezo kuhusu uzinduzi huo, Meneja Masoko wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Airtel yatangaza tano bora ya shindano la Airtel Trace Music Stars


11 years ago
GPL
AIRTEL YAIPELEKA AIRTEL TRACE MUSIC STARS MIKOANI
10 years ago
Michuzi
Airtel yamtangaza Bingwa wa Airtel Trace Music, yamzawadia milioni 50
Akiongea na waandishi wa habari Meneja Masoko wa Airtel Aneth Muga alisema"Leo tunayofuraha kubwa kumtangaza mshindi wetu wa shindano la Airtel Trace Music Stars mara...
10 years ago
Michuzi
Airtel yatangaza kumi bora wa wiki wa shindano la Airtel Trace Music Stars


11 years ago
Michuzi
Airtel yaipeleka Airtel Trace Music Stars Mikoani


10 years ago
GPL
AIRTEL YAMTANGAZA MSHINDI WA "AIRTEL TRACE MUSIC STAR"
11 years ago
TheCitizen10 Oct
Airtel-TRACE in hunt for new music talent
10 years ago
GPL
MAYUNGA MSHINDI WA AIRTEL TRACE MUSIC STAR AFRIKA