Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AIRTEL YAMTANGAZA MSHINDI WA "AIRTEL TRACE MUSIC STAR"

Meneja masoko wa Airtel Tanzania, Bi.Aneth Muga, akizungumza jambo kabla ya kumkabidhi hundi ya shilingi milioni 50 mshindi wa Airtel Trace Music Star, Nalimi Mayunga. ...Akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 50 Nalimi Mayunga.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Airtel yamtangaza Bingwa wa Airtel Trace Music, yamzawadia milioni 50

Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel leo imemtangaza rasmi mshindi wa shindano la Airtel Trace Music star, shindano lilidumu kwa muda wa miezi mitatu maalum kwa wasanii chipukizi kuweza kuimba na kutuma nyimbo zao kwa kutumia simu zao za mkononi kama studio kwa lengo la kusaka na kuibua vipaji kwa wanamuziki chipukizi nchini.
Akiongea na waandishi wa habari Meneja Masoko wa Airtel Aneth Muga alisema"Leo tunayofuraha kubwa kumtangaza mshindi wetu wa shindano la Airtel Trace Music Stars mara...

 

10 years ago

GPL

MAYUNGA MSHINDI WA AIRTEL TRACE MUSIC STAR AFRIKA

Nalimi Mayunga (katikati) akiwa amefurahi hadi akitaka kuanguka baada ya kutangazwa mshindi kwenye Shindano la Airtel Trace Music Star.
Mayunga (kushoto) akiwa haamini kama jina lake ndio limetajwa ndiye mshindi wa shindano hilo.…

 

10 years ago

Bongo5

Benjamin Webi aibuka mshindi wa shindano la Airtel TRACE Music Star Kenya

Kampuni ya simu ya Airtel Kenya na Trace International imemtangaza Benjamin Webi kama mshindi wa shindano la Airtel TRACE Music Star upande wa Kenya. Shindano hilo lililoanza October 5, 2014 ni la kipekee kwakuwa waimbaji walikuwa wakishiriki kwa kujirekodi kwenye simu zao.Nafasi ya pili imekamatwa na Phyllis Mwihaki huku nafasi ya tatu ikienda kwa Trina […]

 

10 years ago

Michuzi

BASATA yamkabidhi Bendera Mshindi wa Airtel Trace Music

Mkurugenzi wa Ukuzaji Sanaa na Masoko wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Nsao Shalua (kushoto), akikabidhi bendera ya taifa kwa mshindi wa Airtel Trace Music Stars, Mayunga Nalimi kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha nchi katika fainali za Afrika za Airtel Trace Music Stars zitakazofanyika Jumamosi Machi 28, nchini Kenya na kushirikisha nchi 13, katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika kwenye ofisi za BASATA jijini Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia (katikati), ni Meneja Masoko wa Airtel,...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL TRACE MUSIC STAR KUIBUA VIPAJI VYA KUIMBA

Ommy Dimpoz akiwa katika pozi na bendi ya Yamoto. Yamoto wakitumbuiza. Raia wa…

 

10 years ago

Michuzi

Meet Airtel Trace Music Star Tanzania Top 5 Contestants

Meet Airtel Trace Music Star Tanzania's  Top 5 Contestants whom Joett has been training. The finale is tomorrow February 7, at the National Museum and House of Culture in Dar es salaam. 
Enjoy  these videos of the contestants.....

 

10 years ago

Michuzi

Airtel Trace Music Star Tanzania Winner, Mayunga Wins 50M

By JoettIn a text message after the February 7, 2015 competition, I wrote... "Mayunga, I have waited YEARS to meet someone like you. It has been an honor to work with you. I feel truly blessed. With YOU I know Tanzania has found a TRUE star who will carry the Tanzanian flag to the WORLD. You are the next Michael Jackson, and what REALLY delights me is that you are TANZANIAN. The doors to my studio are open to you for ALWAYS. Now let's go out there and show the world what we Tanzanians are...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani