BASATA yamkabidhi Bendera Mshindi wa Airtel Trace Music
![](http://1.bp.blogspot.com/-5eaNdPPZmxY/VRKXLQX-4AI/AAAAAAAHNFk/A260uJeOsAw/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Mkurugenzi wa Ukuzaji Sanaa na Masoko wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Nsao Shalua (kushoto), akikabidhi bendera ya taifa kwa mshindi wa Airtel Trace Music Stars, Mayunga Nalimi kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha nchi katika fainali za Afrika za Airtel Trace Music Stars zitakazofanyika Jumamosi Machi 28, nchini Kenya na kushirikisha nchi 13, katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika kwenye ofisi za BASATA jijini Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia (katikati), ni Meneja Masoko wa Airtel,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBASATA YAMKABIDHI BENDERA MSHINDI WA AIRTEL TRACE MUSIC KWA AJILI YI KUWAKILISHA NCHI KATIKA MASHINDANO YA AFRIKA NCHINI KENYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo5mrnm23p*-20260QoXNQy5jFZwwxfN0V9QAj7D5C-JUCuAFWHLA3BlmAJNDZrC5bfcW43XDWucVVucwW9KgHRD/Mayungaalipotezafahamumarabaadayakutangazwamshindi.jpg)
MAYUNGA MSHINDI WA AIRTEL TRACE MUSIC STAR AFRIKA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BE_93CBGZsY/default.jpg)
10 years ago
Bongo516 Jan
Benjamin Webi aibuka mshindi wa shindano la Airtel TRACE Music Star Kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv9xV3Gv1rTY1hgiynenzDri1*Qi9j0w5qinrBRPO3ag2uiIu0knu3F5D2WThg4R7zgROzN6h*UbPoNYkHlTGT97/IMG20150219WA0045.jpg)
AIRTEL YAMTANGAZA MSHINDI WA "AIRTEL TRACE MUSIC STAR"
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zOltqygyYsg/VkofcrwTuJI/AAAAAAAIGQ0/YdDVj3iFiAM/s72-c/58497eff-e738-40cc-b7ba-b2600a229eb8.jpg)
mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Stars Malimi Mayunga aenda marekani, kuimba na akon
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ipxaxjznh3w/Vbs5AWv8CSI/AAAAAAAHs6Y/gfNdl8vt_OY/s72-c/POST-inta-nicecouple.jpg)
MSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUACHIA VIDEO YA KIBAO CHAKE CHA "NICE COUPLE" KWENYE CHANEL YA TRACE LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ipxaxjznh3w/Vbs5AWv8CSI/AAAAAAAHs6Y/gfNdl8vt_OY/s640/POST-inta-nicecouple.jpg)
Mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Star Nalimi Mayunga ameachiakibao chake kipya cha " Nice Couple" video itakayorushwa kuanzia leokatika kituo cha DSTV chanel ya Trace Urban 325
MWANZONI mwa mwezi huu, Mshindi huyo wa Airtel Trace Music star alituamjini Johannesburg South Afrika akitokea nchini Tanzania ili kuanzasafari yake kujiendeleza kimuziki na kufikia ndoto zake mara baada yakuibuka mshindi wa mashindano makubwa yaliyoshirikisha nchi 13 baraniAfrika yaliyofanyika tarehe 18...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ha6r1owNO10/VDPp-D27ZRI/AAAAAAAGogs/EKeG4HKHqGg/s72-c/pic%2B1.jpg)
Airtel yaandaa uzinduzi wa Airtel Music Trace kesho Coco Beach
Uzinduzi huu utawashirikisha wasanii Wakali nchini akiwemo Ommy Dimples pamoja na kundi zima la ya YAMOTO BAND kwa burudani kabambe kwa umati utakao jitokeza hapo kesho katika viwanja hivyo.
Akitoa maelezo kuhusu uzinduzi huo, Meneja Masoko wa...