SIKU KIPALULE: Mamalishe aliyeokolewa kuuza baa, uchangudoa
“KUNA watu wanafikiria kufanya kazi baa ni kupenda, hapana kama mimi niliifanya kazi hiyo na kuuza mwili kutokana na umaskini wa kipato niliokuwa nao na kukosa elimu itakayoweza kuniongoza katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema15 Jul
Siku hizi kuna uchangudoa wa kisasa, wa kisiasa hasa
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
9 years ago
Habarileo23 Nov
Aliyeokolewa mgodini baada ya siku 41 afariki
MMOJA wa majeruhi watano waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama kutokana na kufukiwa na kifusi cha mchanga na kukaa siku 41 chini ya mgodi na kuokolewa, Onyiwa Kaiwao (55) amefariki dunia.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Aliyeokolewa baada ya siku 41 mgodini afariki
11 years ago
MichuziWENYE BUCHA MOSHI WAGOMA KUUZA NYAMA KWA SIKU MBILI
Globu ya Jamii, Moshi
WAKAZI wa mji Manispaa ya Moshi, wametaabika kwa siku mbili sasa wakiwa hawapati kitoweo cha Nyama baada ya halmashauri ya manispaa hiyo na mamlaka ya udhibiti wa Chakula na dawa TFDA kuyafunga maduka ya nyama ambayo hayakidhi vigezo vya afya.
Katika hali inayoonesha kuwapo kwa mgomo wa wauza...
10 years ago
StarTV14 Apr
Wasichana wa miaka 16 wadaiwa kufanya biashara ya Uchangudoa.
Na Gloria Matola,
Dar es Salaam.
Ongezeko la vitendo vya biashara ya ngono bado vinaelezwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na hali ngumu ya kiuchumi ambapo wasichana wadogo wenye miaka 16 wanajihusisha na biashara hiyo hali inayoathiri afya zao tangu utotoni.
Jijini Dar es Salaam, maeneo ya Uwanja wa Fisi yaliyopo Manzese pamoja na nyumba ndogo rasmi za kufanyia ukahaba, Mwananyamala, Tandika na Kigamboni ni miongoni mwa maeneo yaliyoshamiri kwa biashara hiyo.
Star tv ilizungumza na...
5 years ago
CCM Blog![](https://2.bp.blogspot.com/-AJha9igZd6E/XuOV3f6AVJI/AAAAAAACNGo/UiU8DdUxZRI4s3ixaYvLpL7hE3lhHItaQCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1591973215652.jpg)
11 years ago
Dewji Blog22 Jun
Mtevu awakingia kifua mamalishe dhidi ya bomoabomoa Temeke
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (kulia) akitazama hali ilivyobaki baada ya bomoabomoa iliyofanywa na Jiji kwenye vibanda vya mamalishe katika mtaa wa Mbozi, Temeke.
Na Mwandishi Wetu
BOMOA Boboa ya vibanda vya mamalishe katika eneo la Viwanda la Mbozi, Temeke Dar es Salaam, limezua mtafaruku kufuatia mbunge wa jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu kuwakingia kifua mamalishe hao.
Pamoja na kuahidi kuchukua hatua ya kupambana kisheria na Halmashuri ya Jiji la Dar es Salaam, inayoendesha bomoa boboa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*jgfb9S4pHFANVh04RKyU1aOPpeCOKMmX0wn2oJV0H2I1sTfcX1et4XffvbGXMEBFXa9Zjf4VFENGuTRoxy8OV/3.Mtemvuakishangaa.jpg)
MTEMVU AWAKINGIA KIFUA MAMALISHE DHIDI YA BOMOABOMOA TEMEKE
9 years ago
Mwananchi18 Nov
Aliyeokolewa mgodini, amuulizia Lowassa