Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyeokolewa mgodini, amuulizia Lowassa

Mmoja wa watu waliokuwa wamefunikwa na kifusi chini ya ardhi kwa siku 41, juzi jioni alizinduka na muda mfupi baadaye akaulizia kama aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa ameshinda Uchaguzi Mkuu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Aliyeokolewa mgodini baada ya siku 41 afariki

MMOJA wa majeruhi watano waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama kutokana na kufukiwa na kifusi cha mchanga na kukaa siku 41 chini ya mgodi na kuokolewa, Onyiwa Kaiwao (55) amefariki dunia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyeokolewa baada ya siku 41 mgodini afariki

Mmoja wa wachimbaji migodi waliookolewa baada ya kufukiwa na vifusi kwa siku 41 mgodini ameaga dunia.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa awapa pole ya Sh2 milioni waliokolewa mgodini

Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa amewatembelea watu wanne waliokuwa wamefunikwa na kifusi katika mgodi wa Nyangalata na kumpa kila mmoja pole ya Sh500,000.

 

10 years ago

Mwananchi

Sam Nujoma: Rais aliyeokolewa na wana-TANU

Samuel Daniel Shafiishuna Nujoma, au Sam Nujoma kama alivyokuwa akijulikana na wengi, ni rais wa kwanza wa Namibia kuanzia mwaka 1990 hadi 2005.

 

10 years ago

Mwananchi

Sam Nujoma: Shujaa aliyeokolewa na wana-TANU 2

Kama tulivyoona wiki jana, Sam Nujoma, alikuwa Rais wa kwanza wa Namibia huru ambaye baadaye aliamua kung’atuka kwa hairi yake na kuacha madaraka yake kwa Hifikepunye Pohamba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SIKU KIPALULE: Mamalishe aliyeokolewa kuuza baa, uchangudoa

“KUNA watu wanafikiria kufanya kazi baa ni kupenda, hapana kama mimi niliifanya kazi hiyo na kuuza mwili kutokana na umaskini wa kipato niliokuwa nao na kukosa elimu itakayoweza kuniongoza katika...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Maafa mgodini


NA WILIUM PAUL, MOSHI
WATU wawili wamefariki dunia papo hapo, baada ya kuangukiwa na kifusi katika machimbo ya Longoma, yaliyoko Kilema Kusini, Moshi mkoani Kilimanjaro.
Tukio hili linakuja wakati wananchi mkoani Kilimanjaro wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza ndugu zao saba waliofukiwa mwishoni mwa mwaka jana, katika maporomoko kwenye machimbo ya Pumwani, mwishoni mwa mwaka jana.
Tukio hili lilitokea juzi, saa nane mchana baada ya vijana wawili, Adrian Blessing na Shukuru Temu, wenye umri kati ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Watano wafia mgodini

Wakati ombwe ya wachimbaji wa machimbo ya Nyangalata wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga walikoishi siku 41 kabla ya kuokolewa halijafutika, wachimbaji wadogo watano wamekufa kwa kufukiwa na kifusi katika machimbo ya Mgusu yaliyopo Kijiji cha Mgusu wilayani Geita linalomilikiwa na Kampuni ya Dhahabu ya Geita (GGM)

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa mgodini

WATU wawili wamefariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kuporomoka na kuanguka ndani ya shimo la kuchimba dhahabu la Gokona la mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo katika Kijiji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani