Aliyeokolewa mgodini, amuulizia Lowassa
Mmoja wa watu waliokuwa wamefunikwa na kifusi chini ya ardhi kwa siku 41, juzi jioni alizinduka na muda mfupi baadaye akaulizia kama aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa ameshinda Uchaguzi Mkuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo23 Nov
Aliyeokolewa mgodini baada ya siku 41 afariki
MMOJA wa majeruhi watano waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama kutokana na kufukiwa na kifusi cha mchanga na kukaa siku 41 chini ya mgodi na kuokolewa, Onyiwa Kaiwao (55) amefariki dunia.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Aliyeokolewa baada ya siku 41 mgodini afariki
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Lowassa awapa pole ya Sh2 milioni waliokolewa mgodini
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Sam Nujoma: Rais aliyeokolewa na wana-TANU
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Sam Nujoma: Shujaa aliyeokolewa na wana-TANU 2
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
SIKU KIPALULE: Mamalishe aliyeokolewa kuuza baa, uchangudoa
“KUNA watu wanafikiria kufanya kazi baa ni kupenda, hapana kama mimi niliifanya kazi hiyo na kuuza mwili kutokana na umaskini wa kipato niliokuwa nao na kukosa elimu itakayoweza kuniongoza katika...
11 years ago
Uhuru Newspaper15 Jul
Maafa mgodini
NA WILIUM PAUL, MOSHI
WATU wawili wamefariki dunia papo hapo, baada ya kuangukiwa na kifusi katika machimbo ya Longoma, yaliyoko Kilema Kusini, Moshi mkoani Kilimanjaro.
Tukio hili linakuja wakati wananchi mkoani Kilimanjaro wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza ndugu zao saba waliofukiwa mwishoni mwa mwaka jana, katika maporomoko kwenye machimbo ya Pumwani, mwishoni mwa mwaka jana.
Tukio hili lilitokea juzi, saa nane mchana baada ya vijana wawili, Adrian Blessing na Shukuru Temu, wenye umri kati ya...
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Watano wafia mgodini
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Wawili wafa mgodini
WATU wawili wamefariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kuporomoka na kuanguka ndani ya shimo la kuchimba dhahabu la Gokona la mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo katika Kijiji...