Aliyeokolewa baada ya siku 41 mgodini afariki
Mmoja wa wachimbaji migodi waliookolewa baada ya kufukiwa na vifusi kwa siku 41 mgodini ameaga dunia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo23 Nov
Aliyeokolewa mgodini baada ya siku 41 afariki
MMOJA wa majeruhi watano waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama kutokana na kufukiwa na kifusi cha mchanga na kukaa siku 41 chini ya mgodi na kuokolewa, Onyiwa Kaiwao (55) amefariki dunia.
9 years ago
Mwananchi18 Nov
Aliyeokolewa mgodini, amuulizia Lowassa
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Mchimbaji wa siku 41 mgodini afariki dunia
Na Paul Kayanda, Kahama
MMOJA wa wachimbaji wadogo machimbo ya Nyangarata, waliookolerwa baada ya kufukiwa na kifusi mgodini kwa siku 41, Onyiwa Kaiwao (55) amefariki dunia.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Kahama, Dk. Joseph Ngowi, alisema kuwa Kaiwao alifariki dunia jana saa 6.00 mchana baada ya kupata matatizo na kushindwa kupumua.
“Ni kweli amekufa na sababu ya kifo chake inaonekana wakati akitapika na huku akiwa amelala.
“Sehemu ya matapishi yake yaliingia kwenye njia ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/BADRA.jpg)
WAKUTWA HAI BAADA YA KUFUKIWA NA VIFUSI MGODINI KWA SIKU 41
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
SIKU KIPALULE: Mamalishe aliyeokolewa kuuza baa, uchangudoa
“KUNA watu wanafikiria kufanya kazi baa ni kupenda, hapana kama mimi niliifanya kazi hiyo na kuuza mwili kutokana na umaskini wa kipato niliokuwa nao na kukosa elimu itakayoweza kuniongoza katika...
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Mchimbaji aliyenusurika mgodini Nyangalata afariki
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Bondia afariki baada ya 'knock out'
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Mchezaji afariki baada ya kupigwa
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Afariki baada ya ‘ndege kudunguliwa’