WAKUTWA HAI BAADA YA KUFUKIWA NA VIFUSI MGODINI KWA SIKU 41
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/BADRA.jpg)
Ofisa Habari wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Wachimbaji waokolewa baada ya kufukiwa ardhini siku 41
*Waliishi kwa kula mende, mizizi
* Waligunduliwa na mchimbaji aliyekwenda kuiba mchanga wa madini
Na Waandishi Wetu, Kahama na Dar
WACHIMBAJI wadogo watano katika mgodi wa Nyangarata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, wameokolewa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo ardhini kwa siku 41.
Wakizungumza katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama ambako wamelazwa kwa matibabu jana, wachimbaji hao walisema waliishi siku zote hizo kwa kula wadudu kama mende na mizizi mbalimbali.
Kwa mujibu wa...
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Aliyeokolewa baada ya siku 41 mgodini afariki
9 years ago
Habarileo23 Nov
Aliyeokolewa mgodini baada ya siku 41 afariki
MMOJA wa majeruhi watano waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama kutokana na kufukiwa na kifusi cha mchanga na kukaa siku 41 chini ya mgodi na kuokolewa, Onyiwa Kaiwao (55) amefariki dunia.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaeN0USWN0ePczV5SNlUe7WhJ9f9W4rACov6pIjTVPD8lHdbttw2YDgvtSJF-wH20uKIdf11ZBgmGdwFtU2DyWMh/150430072306_nepal_teenager_rescued_five_days_640x360_reuters_nocredit.jpg?width=650)
NEPAL: KIJANA AOKOLEWA AKIWA HAI BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI KWA SIKU TANO
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Wapatikana hai siku 5 baada ya ajali ya ndege
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s72-c/MMG23716.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA:WANAFUNZI WATATU WA KIKE WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI CHA UDONGO WILAYA YA ILEJE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s1600/MMG23716.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMSsrQaX95s/VGW5CiUYoSI/AAAAAAADIJQ/I8dSTDwWyns/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
TUKIO HILO LIMETOKEA TAREHE 12.11.2014 MAJIRA YA SAA 12:00HRS...
10 years ago
GPLWATANO WANUSURIKA KIFO BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI JIJINI MWANZA
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Mchimbaji wa siku 41 mgodini afariki dunia
Na Paul Kayanda, Kahama
MMOJA wa wachimbaji wadogo machimbo ya Nyangarata, waliookolerwa baada ya kufukiwa na kifusi mgodini kwa siku 41, Onyiwa Kaiwao (55) amefariki dunia.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Kahama, Dk. Joseph Ngowi, alisema kuwa Kaiwao alifariki dunia jana saa 6.00 mchana baada ya kupata matatizo na kushindwa kupumua.
“Ni kweli amekufa na sababu ya kifo chake inaonekana wakati akitapika na huku akiwa amelala.
“Sehemu ya matapishi yake yaliingia kwenye njia ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-S90b3FxuIqU/VU5s_NBkYFI/AAAAAAAAPM0/7vULVYb-lH8/s72-c/E86A7048%2B(800x533).jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA HAI ATEMBELEA ENEO LA TAMBARALE WILAYANI HAI KUJIONEA ATHARI ZA MAFURIKO NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-S90b3FxuIqU/VU5s_NBkYFI/AAAAAAAAPM0/7vULVYb-lH8/s640/E86A7048%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hb3otOLUKN0/VU5s-jOdRDI/AAAAAAAAPMs/TcA6eOCyZTs/s640/E86A7037%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CC50Lk00rj4/VU5s_Go8RTI/AAAAAAAAPMw/14cFb3_hGrI/s640/E86A7041%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dizkt-Y5v84/VU5tESLP_wI/AAAAAAAAPNE/aR7Vur4PxmU/s640/E86A7054%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-c4_6kMMY72s/VU5tE3qLq5I/AAAAAAAAPNQ/499omJaE47M/s640/E86A7063%2B(800x533).jpg)