Wapatikana hai siku 5 baada ya ajali ya ndege
Mama na mwanawe wa mwaka mmoja wamepatikana hai siku 5 baada ya ajali ya ndege katika msitu mkubwa huko Colombia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YskAtqroQaApeA5J9tVofL4lDJsqNzOsLy74bXeWtuLibV66KRtqvf1h-xSxcZr4Mar3rAedc0gyCvwx8KnQrnH/1.jpg?width=650)
ALGERIA YATANGAZA SIKU 3 ZA MAOMBOLEZO BAADA YA AJALI YA NDEGE
Ndege aina ya Hercules C-130 baada ya kupata ajali. Algeria imeanza siku tatu za maombolezi ya kitaifa kufuatia ajali ya ndege iliyowaua watu 77 Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo. Abiria mmoja alinusurika ajali hiyo iliyohusisha ndege aina ya Hercules C-130 iliyoanguka katika eneo la milima ya Oum al-Bouaghi, ikiwa njiani kuelekea mji wa Constantine. Kikosi cha uokoaji kikiwa eneo la tukio. Ripoti… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*X48WsmNc23pmAB6oPcDv5ITM4Ut6B81jkUWsZQnbW89vUcnUyeltPn5O34Ge4z1GYQDZKo3PdFtKSkDX--vxEg/article25841331C69423300000578784_634x422.jpg?width=650)
SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI
Wanawake wawili (mmoja hayupo pichani) wakiondolewa kwa nguvu kwenye mkutano wa waandishi wa habari ambao ulipangwa kufanyika leo mjini Kuala Lumpur. Wanawake hao ni baadhi ya ndugu ‘waliopotea’ katika ndege aina ya Boeing 777 namba MH370 iliyopotea zaidi ya siku 10 zilizopita ambao wameilaumu serikali ya Malaysia kwa kutowaambia ukweli na kuwazungusha kuhusu juhudi za kweli kuhusiana na ndugu zao.… ...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/BADRA.jpg)
WAKUTWA HAI BAADA YA KUFUKIWA NA VIFUSI MGODINI KWA SIKU 41
Ofisa Habari wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaeN0USWN0ePczV5SNlUe7WhJ9f9W4rACov6pIjTVPD8lHdbttw2YDgvtSJF-wH20uKIdf11ZBgmGdwFtU2DyWMh/150430072306_nepal_teenager_rescued_five_days_640x360_reuters_nocredit.jpg?width=650)
NEPAL: KIJANA AOKOLEWA AKIWA HAI BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI KWA SIKU TANO
Kijana aliyeokolewa baada ya kufunikwa na kifusi kwa siku tano wakati wa tetemeko la ardhi mjini Kathmandu. Kufuatia tetemeko kubwa la aridhi kuukumba Mji wa Kathmandu nchini Nepal siku tano zilizopita, waokoaji wamefanikiwa kumuokoa kijana mmoja mwenye umri wa miaka 15 aliyepatikana hai baada ya kufunikwa na vifusi vya jengo alilokuwemo wakati wa tetemeko hilo. Licha ya kuwa chini ya maporomoko ya vifusi hivyo kwa siku tano,...
9 years ago
BBCSwahili30 Dec
Wachimba migodi wapatikana hai China
Wachimba migodi wanane waliokwama ardhini kwa siku tano huko China wamepatikana wakiwa hai.
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX7j0jaNRSi9KdpRhvtC1cNVcs6bC-OT*zNut8VgiqnZuByHRIsBLkLwBGyWgFq7Qld7rzpcyeTTU6TrDc0nv5qd/ndege.jpg)
MKIA WA NDEGE YA AIRASIA QZ8501 WAPATIKANA
Mchoro wa mkia wa ndege ukionyesha kifaa cha kutunza kumbukumbu za ndege 'black box'. Picha ikionyesha mabaki ya ndege ya AirAsia kutoka baharini.…
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Mwili wapatikana uwanja wa ndege Kenya
Shughuli katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta zilisitishwa kwa muda asubuhi baada ya mwili wa kijana mdogo kupatikana karibu na eneo la kurukia ndege
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania