Mwili wapatikana uwanja wa ndege Kenya
Shughuli katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta zilisitishwa kwa muda asubuhi baada ya mwili wa kijana mdogo kupatikana karibu na eneo la kurukia ndege
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV09 Mar
Mwili wa shahidi aliyeuawa Kenya wapatikana
Serikali ya Kenya imeutambua rasmi mwili wa jamaa mmoja uliopatikana katika mbuga ya wanyama, kuwa ni wa shahidi wa mahakama ya ICC, Meshack Yebei, katika kesi inayomkabili makamu wa rais wa Kenya, William Ruto.
Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, uchunguzi wa chembechembe za DNA umehakikisha fika kuwa ni yeye.
Tangazo hilo linatarajiwa kuipa afueni familia ya Yebei, ambayo nusura izike mwili tofauti mnamo mwezi Januari, kabla ya kuambia kwamba mwili huo haukuwa wa mtoto...
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Kenya:Mwili washahidi aliyeuawa wapatikana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UZT9WLJf9xE/UxyW_Mmf-ZI/AAAAAAAFSaw/yheGNpxsmd0/s72-c/TA1A6413.jpg)
MAPOKEZI YA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI BAKARI SHAABANI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA ABEID AMANI KARUME,ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-UZT9WLJf9xE/UxyW_Mmf-ZI/AAAAAAAFSaw/yheGNpxsmd0/s1600/TA1A6413.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOpkhAbMDIFIUY1ZoTJ09NT3GfFzZ-usq04Cpchn7rFFKWbTX-NvuDOaaUQOx287ewJaNi83kwxNGV1yTSyrzVcW/ebola21.jpg?width=650)
TAHARUKI YA EBOLA UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATTA, KENYA
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Mwili wa mshukiwa wa 3 wa ugaidi wapatikana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_AH7lcULIBY/VGy6aC7GAlI/AAAAAAAAHk8/w890c2RIJzs/s72-c/Honduraswinner2.jpg)
Mwili wa Miss Honduras 2014 wapatikana
![](http://1.bp.blogspot.com/-_AH7lcULIBY/VGy6aC7GAlI/AAAAAAAAHk8/w890c2RIJzs/s1600/Honduraswinner2.jpg)
Miss Honduras 2014 Maria Jose Alvarado (19) na dada yake Sofia (23) walipotea Alhamis iliyopita, na Generali wa Polisi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iCGf4QxfWQk/Vl2AkT-en2I/AAAAAAAIJeQ/9_U9wAn22Og/s72-c/TBIIB.jpg)
WATENDAJI WA MASHIRIKA YA NDEGE WATAKA BARABARA YA KUELEKEA UWANJA WA NDEGE IPANULIWE
Rai hiyo imetolewa jana na watendaji wa mashirika 19 ya ndege yanayoendesha shughuli zake katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) walipozuru ujenzi TB III ikiwa ni moja ya...