Mwili wa mshukiwa wa 3 wa ugaidi wapatikana
Mwili wa 3 umepatikana katika nyumba ya Saint-Denis iliovamiwa na maafisa wa polisi kuhusiana na shambulizi la Paris,kulingana na kiongozi wa mashtaka nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Mshukiwa wa ugaidi mkenya akamatwa TZ
9 years ago
BBCSwahili30 Aug
Mshukiwa wa ugaidi ashtakiwa Bangkok
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Mshukiwa wa kike wa ugaidi asakwa-Kenya
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mshukiwa wa ugaidi ajisalimisha kwa polisi Kenya
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Mwili wapatikana uwanja wa ndege Kenya
10 years ago
StarTV09 Mar
Mwili wa shahidi aliyeuawa Kenya wapatikana
Serikali ya Kenya imeutambua rasmi mwili wa jamaa mmoja uliopatikana katika mbuga ya wanyama, kuwa ni wa shahidi wa mahakama ya ICC, Meshack Yebei, katika kesi inayomkabili makamu wa rais wa Kenya, William Ruto.
Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, uchunguzi wa chembechembe za DNA umehakikisha fika kuwa ni yeye.
Tangazo hilo linatarajiwa kuipa afueni familia ya Yebei, ambayo nusura izike mwili tofauti mnamo mwezi Januari, kabla ya kuambia kwamba mwili huo haukuwa wa mtoto...
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Kenya:Mwili washahidi aliyeuawa wapatikana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_AH7lcULIBY/VGy6aC7GAlI/AAAAAAAAHk8/w890c2RIJzs/s72-c/Honduraswinner2.jpg)
Mwili wa Miss Honduras 2014 wapatikana
![](http://1.bp.blogspot.com/-_AH7lcULIBY/VGy6aC7GAlI/AAAAAAAAHk8/w890c2RIJzs/s1600/Honduraswinner2.jpg)
Miss Honduras 2014 Maria Jose Alvarado (19) na dada yake Sofia (23) walipotea Alhamis iliyopita, na Generali wa Polisi wa...
5 years ago
BBCSwahili22 May
Masalia ya mwili wa Augustin Bizimana, mshukiwa mkuu wa mauaji ya Rwanda yapatikana