Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mshukiwa wa ugaidi mkenya akamatwa TZ

Mmoja wa watuhumiwa wa matukio ya ugaidi nchini Kenya,Jihad Gaibon Swaleh, amefikishwa mahakamani nchini Tanzania.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Masalia TZ:Mshukiwa mmoja akamatwa

Polisi nchini Tanzania wanachunguza kisa ambapo masalia ya viungo vya binadamu yalipatikana yametupwa mjini Dar es Salaam

 

10 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa Al Shabab akamatwa Kenya

Mshukiwa mmoja wa kundi la wapiganaji wa Al Shabab amekamatwa kufuatia shambulizi la kigaidi Kaskazini mwa Kenya

 

11 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa tatu akamatwa Mombasa

Polisi mjini Mombasa Pwani ya Kenya, wamemkamata mshukiwa wa tatu wa ugaidi na kunasa silaha zaidi

 

11 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa Al shabaab akamatwa Kenya

Maafisa wa polisi nchini Kenya wanasema wamemnasa mshukiwa mkuu wa Al-Shabaab ambaye aliingia nchini humo kutafuta matibabu.

 

10 years ago

BBCSwahili

71 wafa Austria,mshukiwa wa 5 akamatwa

Polisi nchini Hungary wamemkamata mtu wa tano kufuatia vifo vya wahamiaji 71 waliopatikana ndani ya lori moja wiki iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa ugaidi ashtakiwa Bangkok

Mtu aliyekamatwa kuhusiana na mlipuko wa bomu mjini Bangkok ameshtakiwa kwa kosa la kupatikana na silaha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwili wa mshukiwa wa 3 wa ugaidi wapatikana

Mwili wa 3 umepatikana katika nyumba ya Saint-Denis iliovamiwa na maafisa wa polisi kuhusiana na shambulizi la Paris,kulingana na kiongozi wa mashtaka nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa akamatwa kuhusu mauaji ya Paris

Polisi nchini Ufaransa wamemkamata mwanamume eneo la Paris kwenye uchunguzi wao kuhusu mashambulio ya Novemba 13.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa kike wa ugaidi asakwa-Kenya

Kenya imetoa zawadi ya $20,000 kwa mtu yeyote atakaye toa habari za kukamatwa kwa mshukiwa mmoja wa ugaidi wa kike Rukia Faraj

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani