ALGERIA YATANGAZA SIKU 3 ZA MAOMBOLEZO BAADA YA AJALI YA NDEGE
![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YskAtqroQaApeA5J9tVofL4lDJsqNzOsLy74bXeWtuLibV66KRtqvf1h-xSxcZr4Mar3rAedc0gyCvwx8KnQrnH/1.jpg?width=650)
Ndege aina ya Hercules C-130 baada ya kupata ajali. Algeria imeanza siku tatu za maombolezi ya kitaifa kufuatia ajali ya ndege iliyowaua watu 77 Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo. Abiria mmoja alinusurika ajali hiyo iliyohusisha ndege aina ya Hercules C-130 iliyoanguka katika eneo la milima ya Oum al-Bouaghi, ikiwa njiani kuelekea mji wa Constantine. Kikosi cha uokoaji kikiwa eneo la tukio. Ripoti… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Wapatikana hai siku 5 baada ya ajali ya ndege
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Ghana yatangaza siku tatu za maombolezo
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y54Q7lf6ky4/U8_DNBNFGdI/AAAAAAAF5OM/RZaEN1KzSg4/s72-c/unnamed+(73).jpg)
BALOZI KAMALA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y54Q7lf6ky4/U8_DNBNFGdI/AAAAAAAF5OM/RZaEN1KzSg4/s1600/unnamed+(73).jpg)
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Ajali ya ndege yawaua 100 Algeria
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*X48WsmNc23pmAB6oPcDv5ITM4Ut6B81jkUWsZQnbW89vUcnUyeltPn5O34Ge4z1GYQDZKo3PdFtKSkDX--vxEg/article25841331C69423300000578784_634x422.jpg?width=650)
SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI
11 years ago
BBCSwahili04 May
Afghan yatangaza maombolezo kitaifa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--YLvC7HxVPk/XuTUIj9ZU5I/AAAAAAAC7eg/GRkyOc-nMPUBwwJC4nQ35t6R2jIA-qnDwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RWANDA YATANGAZA MAOMBOLEZO YA KITAIFA KIFO CHA RAIS WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/--YLvC7HxVPk/XuTUIj9ZU5I/AAAAAAAC7eg/GRkyOc-nMPUBwwJC4nQ35t6R2jIA-qnDwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Rais wa Rwanda Paul Kagame ametangaza maombolezo ya Kitaifa Rwanda kufuatia kifo cha Nkurunziza na ameagiza Bendera ya Rwanda na ya Jumuiya ya Afrika Mashariki zote zipeperushwe nusu mlingoti nchini humo kuanzia leo June 13 hadi siku Nkurunziza atakapozikwa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-R2gMryf5yr4/XuTUQ2vpUjI/AAAAAAAC7ek/10qYTdCEl0QZmheEiNRbXkl0Fx3gPv_zACLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116