Ghana yatangaza siku tatu za maombolezo
Serikali ya Ghana imetangaza siku tatu za maombolezo kufuatia vifo vya watu zaidi ya 150
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YskAtqroQaApeA5J9tVofL4lDJsqNzOsLy74bXeWtuLibV66KRtqvf1h-xSxcZr4Mar3rAedc0gyCvwx8KnQrnH/1.jpg?width=650)
ALGERIA YATANGAZA SIKU 3 ZA MAOMBOLEZO BAADA YA AJALI YA NDEGE
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
RAIS MAGUFULI ATANGAZA MAOMBOLEZO YA SIKU TATU YA KIFO CHA RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s400/images.jpeg)
Rais Dk. John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia kesho Juni 13, 2020 kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 09, 2020 nchini Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu jijini Dodoma imesema katika kipindi chote cha siku tatu za maombolezo hayo ambayo yataanza leo, hadi keshokuwa bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoti.
Taarifa hiyo imesema, Rais Magufuli ameeleza kuwa Tanzania inatoa heshima hiyo kwa kifo...
11 years ago
BBCSwahili04 May
Afghan yatangaza maombolezo kitaifa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--YLvC7HxVPk/XuTUIj9ZU5I/AAAAAAAC7eg/GRkyOc-nMPUBwwJC4nQ35t6R2jIA-qnDwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RWANDA YATANGAZA MAOMBOLEZO YA KITAIFA KIFO CHA RAIS WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/--YLvC7HxVPk/XuTUIj9ZU5I/AAAAAAAC7eg/GRkyOc-nMPUBwwJC4nQ35t6R2jIA-qnDwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Rais wa Rwanda Paul Kagame ametangaza maombolezo ya Kitaifa Rwanda kufuatia kifo cha Nkurunziza na ameagiza Bendera ya Rwanda na ya Jumuiya ya Afrika Mashariki zote zipeperushwe nusu mlingoti nchini humo kuanzia leo June 13 hadi siku Nkurunziza atakapozikwa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-R2gMryf5yr4/XuTUQ2vpUjI/AAAAAAAC7ek/10qYTdCEl0QZmheEiNRbXkl0Fx3gPv_zACLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-DBjTq9G57iM/XuQ1gu8lV0I/AAAAAAAC7bk/Rx8S1dzCMKogVhVsFMvf5u6-aNQEa9B9ACLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZfyI4Q_LPJ4/XuPeSvLcwNI/AAAAAAALtpI/ErHmkADQ2F4mmt_LgxVc4rx0xHv1Ny3igCLcBGAsYHQ/s72-c/w.jpg)
10 years ago
Mwananchi10 Apr
Tanesco yatangaza mgawo wa umeme wa siku tisa
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Tanzania yatangaza kufunga shule zote kwa siku 30
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Fastjet yatangaza safari za kila siku kwenda Zanzibar kutoka Dar
Kampuni ya ndege ya gharama nafuu barani Afrika, fastjet imetangaza safari zake za kila siku kwenda Zanzibar kutoka Dar es Salaam zitakazoanza tarehe 16, Januari 2016.
Huduma hii ambayo itaanza mara moja ni matokeo ya maombi ya abiria na makampuni yanayotoa huduma kwa watalii ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakidai huduma hiyo ili kuimarisha soko la ndani.
Huduma za usafiri kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere wa Dar es Salaam na ule wa Abeid Amani Karume wa Zanzibar...