Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Tanzania yatangaza kufunga shule zote kwa siku 30

Tanzania yatangaza kufunga shule zote kuanzia shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Rwanda imefunga shule zote kudhibiti virusi

Rwanda imefunga shule zote pamoja na maeneo ya kuabudu kuanzia leo baada ya kuthibitisha kisa cha kwanza cha corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Tanzania yafunga shule zote nchini kuzuia maambukizi ya virusi vya corona

Tanzania yatangaza kufunga shule zote kuanzia za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE MAVUNDE AGAWA VIFAA VYA KUJIKINGA NA COVID-19 KWA SHULE ZOTE ZA SEKONDARI JIJINI DODOMA.

Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh Anthony Mavunde leo amegawa vifaa mbalimbali vya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa COVID 19 kwa Shule zote za Sekondari za umma na binafsi zenye kidato cha Sita.

Mavunde amekabidhi leo vifaa hivyo vyenye thamani ya zaidi ya Tsh 2,000,000 kwa wakuu wa Shule za Sekondari katika eneo la Jiji ya Dodoma ikiwa ni siku ya kwanza kwa wanafunzi wa kidato cha sita kurejea tena shuleni baada ya agizo la Mh Rais Dr John Pombe Magufuli kuhusu kufunguliwa tena kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Safari zote za kidini zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Saudi Arabia ina miji mitakatifu ya dini ya Kiislamu ya Makka na Madina

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mahakama kuu ya Kenya imeagiza kusitishwa kwa ndege zote kutoka China

Mahakama kuu pia imetoa agizo la kutafutwa na kuzuiliwa mahali pamoja kwa abiria wote 239 waliowasili nchini kutoka China.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Burundi yatangaza kuwa na wagonjwa wa corona kwa mara ya kwanza

Waziri wa afya nchini humo Thadée Ndikumana, ametangaza watu wawili ambao ni raia wa Burundi kuwa na maambukizi ya virusi vya corona.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) yasajili na kutoa vyeti 5,081 kwa shule zote za wilaya ya Kinondoni jijini Dar

Msajili wa Vizazi na Vifo wa Wilaya ya Kinondoni, Mariam Ling’ande (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu maendeleo ya kampeni ya usajili na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa kwa wanafunzi wa shule za msingi katika Wilaya ya Kinondoni. Kushoto ni Meneja Masoko Mawasiliano Elimu kwa Umma wa  Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA), Josephat Kimaro.

Meneja Masoko Mawasiliano Elimu kwa Umma wa  Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA),...

 

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YATANGAZA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA SIKU MBILI JIJINI DAR

Dawasco inawatangazia wakazi wote wa jiji la Dar es salaam na Mji wa Bagamoyo kuwa mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu Chini utazimwa kwa wastani wa saa 48 kwa siku za Ijumaa na Jumamosi ya tarehe 23 na 24 Januari 2015, kuanzia saa kumi na mbili asubuhi, ili kuruhusu mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (Cross-connection) ndani ya Mtambo wa Ruvu Chini, Bagamoyo. 
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini kutasababisha maeneo yafuatayo kukosa Maji; Mji wa...

 

10 years ago

Vijimambo

WAKALA WA USAJILI UFILISI NA UDHAMINI (RITA) YASAJILI NA KUTOA VYETI 5,081 KWA SHULE ZOTE ZA WILAYA YA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM



 Msajili wa Vizazi na Vifo wa Wilaya ya Kinondoni, Mariam Ling'ande (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu maendeleo ya kampeni ya usajili na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa kwa wanafunzi wa shule za msingi katika Wilaya ya Kinondoni. Kushoto ni Meneja Masoko Mawasiliano Elimu kwa Umma wa  Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA), Josephat Kimaro. Meneja Masoko Mawasiliano Elimu kwa Umma wa  Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA),...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani