Wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) yasajili na kutoa vyeti 5,081 kwa shule zote za wilaya ya Kinondoni jijini Dar
Msajili wa Vizazi na Vifo wa Wilaya ya Kinondoni, Mariam Ling’ande (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu maendeleo ya kampeni ya usajili na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa kwa wanafunzi wa shule za msingi katika Wilaya ya Kinondoni. Kushoto ni Meneja Masoko Mawasiliano Elimu kwa Umma wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA), Josephat Kimaro.
Meneja Masoko Mawasiliano Elimu kwa Umma wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA),...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAKALA WA USAJILI UFILISI NA UDHAMINI (RITA) YASAJILI NA KUTOA VYETI 5,081 KWA SHULE ZOTE ZA WILAYA YA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dqD_QkHo5D0/VPBlSgkxEYI/AAAAAAAHGNk/p_VUtgo8zXA/s72-c/DSCF5044.jpg)
RITA wazindua mkakati wa Usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi Wilaya ya Kinondoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-dqD_QkHo5D0/VPBlSgkxEYI/AAAAAAAHGNk/p_VUtgo8zXA/s1600/DSCF5044.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Rita kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa wanafunzi shule za msingi
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
RITA yatoa vyeti kwa shule 105 Ilala
WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wamefanya zoezi maalumu la usajili na kutoa vyeti katika shule za msingi 105 za Manispaa ya Ilala. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana...
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AZINDUA MKAKATI WA USAJILI NA KUTOA VYETI VYA KUZALIWA KWA WATOTO WA MWANZA
9 years ago
Mtanzania04 Jan
RITA yaja na mapendekezo sheria ya ufilisi
Na Mwandishi Wetu
WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) inakusudia kufanya marekebisho makubwa ya kimfumo, baada ya kuja na mependekezo yanayolenga kuwapo kwa sheria ya ufisili.
Hatua hiyo inatajwa kuwa itawaweka mahala pagumu baadhi ya wafanyabiashara wakubwa, kampuni na mashirika ya kimataifa yanayotangaza kufilisika kwa njia za ujanjaujanja.
Akizungumza na MTANZANIA ofisini kwake jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa RITA, Emmy Hudson alisema hadi sasa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bcDBzAwLtz4/U8fodb2IkvI/AAAAAAAF3Fg/dGKIFifaX5A/s72-c/unnamed.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana azindua rasmi utoaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa wananchi Wilaya ya Kinondoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-bcDBzAwLtz4/U8fodb2IkvI/AAAAAAAF3Fg/dGKIFifaX5A/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XBuQl9DVg6E/U8foeFB_gCI/AAAAAAAF3Fk/Js-pE7P8knQ/s1600/unnamed+(1).jpg)
10 years ago
MichuziMAKONDA AANZA KAZI RASMI WILAYA YA KINONDONI,JIJINI DAR