Coronavirus: Mahakama kuu ya Kenya imeagiza kusitishwa kwa ndege zote kutoka China
Mahakama kuu pia imetoa agizo la kutafutwa na kuzuiliwa mahali pamoja kwa abiria wote 239 waliowasili nchini kutoka China.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sf6EWHNfuxw/XllAw6P-G7I/AAAAAAALf9I/y_CORtVkQzUSO-twLZgUTBsacp6OXC29wCLcBGAsYHQ/s72-c/4bppa8a80699c4154m1_800C450.jpg)
Mahakama Kuu ya Kenya yatoa amri ya kusitishwa ndege zote kutoka China
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sf6EWHNfuxw/XllAw6P-G7I/AAAAAAALf9I/y_CORtVkQzUSO-twLZgUTBsacp6OXC29wCLcBGAsYHQ/s640/4bppa8a80699c4154m1_800C450.jpg)
Mahakama Kuu ya Kenya imetoa amri ya kusitishwa kwa muda ndege zote kutoka China zinazoingia katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki kufuatia kesi kuhusu virusi vya Corona iliyowasilishwa na chama cha mawakili wa nchi hiyo.
Amri hiyo ya Mahakama Kuu ya Kenya inataka kusitishwa kuingia nchini humo ndege kutoka China kwa kipindi cha siku kumi.
Akitoa hukumu yake leo Jaji James Makau ameziagiza Wizara ya Usalama wa Ndani na ya Afya kuwatafuta abiria wote 239 waliowasili nchini...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-UDdZgbyE2NQ/XllAsybmZXI/AAAAAAACzrI/FEioO4m5xcslemsAgjfm0fZwPRNhwmtbQCLcBGAsYHQ/s72-c/_111072171_26930139-ee7c-4adb-88b8-1a076d453df1.jpg)
MAHAKAMA KUU YA KENYA YATOA AMRI KUSITISHWA SAFARI ZA NDEGE KUTOKA CHINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UDdZgbyE2NQ/XllAsybmZXI/AAAAAAACzrI/FEioO4m5xcslemsAgjfm0fZwPRNhwmtbQCLcBGAsYHQ/s640/_111072171_26930139-ee7c-4adb-88b8-1a076d453df1.jpg)
Amri hiyo ya Mahakama Kuu ya Kenya inataka kusitishwa kuingia nchini humo ndege kutoka China kwa kipindi cha siku kumi.
Akitoa hukumu yake leo Jaji James Makau ameziagiza Wizara ya Usalama wa Ndani na ya Afya kuwatafuta abiria wote 239 waliowasili nchini Kenya kutoka China kupitia uwanja wa...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Maamuzi mawili kwa leo kutoka Mahakama Kuu Dar kuhusu ishu ya bomoabomoa.. (+Pichaz)
Maamuzi haya yalikuwa yakisubiriwa na wengi Dar es Salaam, na kwa sababu Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam iliahidi kwamba maamuzi yanatoka leo, macho na masikio ya wengi yalielekea huko kwa siku nzima. Zoezi la bomoabomoa lilianza mwishoni mwa 2015, likasimamishwa kwa muda alafu taarifa ikatoka kwamba zoezi litaendelea leo Januari 5 2015, lakini […]
The post Maamuzi mawili kwa leo kutoka Mahakama Kuu Dar kuhusu ishu ya bomoabomoa.. (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FyhFouKIvdM/VFz4CcUo_tI/AAAAAAAGwAE/_xLWEv6EYKU/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
Serikali ya China yalaani vikali tuhuma za kuhusishwa kwa Ndege ya Rais wake kubeba meno ya ndovu kutoka nchini
Akizungumza leo mjini Arusha Balozi wa China Lu Youqing alisema kuwa huo ni uongo mkubwa ambao ulikuwa na nia ya kutia aibu taifa lake na Tanzania kwa ujumla.
Alisema kwamba Taifa lake hutoa adhabu kali kwa mtu anayefanya uovu kama ujangili, "Kama mwandishi angeweza kuthibitisha hao maafisa wangechukuliwa hatua kali, na hilo liko ndani ya uwezo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4MO6HFj7LMc/VgJd29lQD_I/AAAAAAAAuX0/aVwEFi53Bfc/s72-c/New%2BPicture.png)
BASATA LATAKA KUONDOLEWA/KUSITISHWA MARA MOJA KUCHEZWA KWA NYIMBO ZOTE ZENYE KUKENGEUKA MAADILI, SHERIA NA TARATIBU
![](http://4.bp.blogspot.com/-4MO6HFj7LMc/VgJd29lQD_I/AAAAAAAAuX0/aVwEFi53Bfc/s320/New%2BPicture.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c4nqYXJtDZ4/XrEmGjmkc2I/AAAAAAALpMM/y0uZDoFJLNQkVJOAVHGLxytb8lLpPvqLACLcBGAsYHQ/s72-c/Mahakama-Kuu-2-MUDA-HUU.jpg)
MAHAKAMA KUU KANDA DARESALAAM YATOA HUKUMU KWA MAHAKAMA MTANDAO
11 years ago
GPL06 Jan
KUTOKA MAHAKAMA KUU BAADA YA HUKUMU YA PINGAMIZI LA ZITTO KUAIRISHWA
11 years ago
GPLTASWIRA KUTOKA MAHAKAMA KUU WAKATI WA KUSIKILIZWA PINGAMIZI LA ZITTO KABWE