NEPAL: KIJANA AOKOLEWA AKIWA HAI BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI KWA SIKU TANO
![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaeN0USWN0ePczV5SNlUe7WhJ9f9W4rACov6pIjTVPD8lHdbttw2YDgvtSJF-wH20uKIdf11ZBgmGdwFtU2DyWMh/150430072306_nepal_teenager_rescued_five_days_640x360_reuters_nocredit.jpg?width=650)
Kijana aliyeokolewa baada ya kufunikwa na kifusi kwa siku tano wakati wa tetemeko la ardhi mjini Kathmandu. Kufuatia tetemeko kubwa la aridhi kuukumba Mji wa Kathmandu nchini Nepal siku tano zilizopita, waokoaji wamefanikiwa kumuokoa kijana mmoja mwenye umri wa miaka 15 aliyepatikana hai baada ya kufunikwa na vifusi vya jengo alilokuwemo wakati wa tetemeko hilo. Licha ya kuwa chini ya maporomoko ya vifusi hivyo kwa siku tano,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV04 May
Kijana aokolewa akiwa hai toka katika kifusi Nepal.
Watoa huduma za uokoaji huko mji mkuu wa Nepal Kathmandu, wamefanikiwa kumuokoa kijana mmoja mwenye umri wa miaka 15 aliyepatikana hai baada ya funikwa na vifusi vya jengo alilokuwemo wakati wa tetemeko la ardhi kukumba taifa hilo siku tano zilizopita.
Licha ya kuwa chini ya maporomoko hayo kwa siku hizo tano isaidiwa na mwanya uliokuwa ukipenyeza hewa iliyomwezesha kupumua japo kwa shida.
Makundi ya watu walimshangilia alipotolewa huku akionekana akijitahidi kufungua macho yake.Alikimbizwa...
10 years ago
BBCSwahili30 Apr
Kijana aokolewa akiwa hai Nepal
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeqFvw18kiKeJR8CRsLh5StEOpCqoKRUTWVkitZqf6XjRRuJhQfxZrZ5EDf2oRzGpTOSoqZpk2bSo6u-zFoOULJy/1.jpg?width=650)
WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V9M5yD8pkM0/U8OoB-Q5CDI/AAAAAAAF2BQ/8m5LbPEUIPw/s72-c/IMG-20140714-WA0003.jpg)
Breaking Nyuzzzz: WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO
![](http://1.bp.blogspot.com/-V9M5yD8pkM0/U8OoB-Q5CDI/AAAAAAAF2BQ/8m5LbPEUIPw/s1600/IMG-20140714-WA0003.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sbP_7JUmCV0/U8OoDrN-K8I/AAAAAAAF2BY/fJ2wMNQwu5Y/s1600/IMG-20140714-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8V4iA-UKltU/U8OoFVH2-8I/AAAAAAAF2Bg/WrquhKDeEjA/s1600/IMG-20140714-WA0000.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4eheHYrXlEA/U8OoHnxpleI/AAAAAAAF2Bo/3xoFkONwSvE/s1600/IMG-20140714-WA0001.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/BADRA.jpg)
WAKUTWA HAI BAADA YA KUFUKIWA NA VIFUSI MGODINI KWA SIKU 41
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Wapatikana hai siku 5 baada ya ajali ya ndege
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Kijana aokolewa mikononi mwa Wanamgambo
11 years ago
CloudsFM17 Jul
MWILI WA KIJANA ALIYEFUKIWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO ULIVYOTOLEWA NA WANANCHI
Licha ya kukabiliwa na changamoto ya zana hafifu kwa ajili ya zoezi la ufukuaji wa vifusi katika tukio hilo la kufukiwa kwa watu wawili,lakini vijana wa eneo hilo la Rongoma,mkoani Kilimanjaro walifanya shughuli hiyo ya ufukuaji kwa ushirikiano mkubwa.
Hatimaye mwili wa kijana huyo ukaonekana.
Shughuli za kufukua kifusi katika eneo hilo ukaendelea.
Hatimaye mwili ukaopolewa toka katika kifusi.
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Raia wa Nepal walala nje kwa siku ya pili