Breaking Nyuzzzz: WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO
![](http://1.bp.blogspot.com/-V9M5yD8pkM0/U8OoB-Q5CDI/AAAAAAAF2BQ/8m5LbPEUIPw/s72-c/IMG-20140714-WA0003.jpg)
Zaidi ya watu wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa tofari. Tayari mpaka sasa mwili wa mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Bless Adrian, mkazi wa kijiji cha Nganjoni wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro. Juhudi za kutafuta miili mingine inaendelea licha ya kukabiliwa na changamoto ya zana za kufukulia kifusi.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeqFvw18kiKeJR8CRsLh5StEOpCqoKRUTWVkitZqf6XjRRuJhQfxZrZ5EDf2oRzGpTOSoqZpk2bSo6u-zFoOULJy/1.jpg?width=650)
WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO
WATU zaidi ya wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa matofali. Tayari mpaka sasa mwili wa mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Bless Adrian, mkazi wa kijiji cha Nganjoni wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro umepatikana. Juhudi za kutafuta miili mingine inaendelea licha ya kukabiliwa na changamoto ya zana za kufukulia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-elmlo1iK0Gs/VSZgYZMBwxI/AAAAAAAHPxQ/FxK2BTZ8Xz0/s72-c/IMG-20150409-WA0024.jpg)
BREAKING NYUZZZZ....: MABASI MAWILI YAGONGANA USO KWA USO LEO MAENEO YA MKATA MKOANI TANGA, WATU ZAIDI YA 10 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-elmlo1iK0Gs/VSZgYZMBwxI/AAAAAAAHPxQ/FxK2BTZ8Xz0/s1600/IMG-20150409-WA0024.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jhhmIFp9GXc/VSZgkqyZGZI/AAAAAAAHPxg/NRZg2K9OCi0/s1600/IMG-20150409-WA0012.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nERG4-GKvUc/VoEkRJyvf6I/AAAAAAAIO_8/jWPW3UozMqY/s72-c/20151228031431.jpg)
BREAKING NYUZZZZ.....: WACHIMBAJI KADHAA WAFUNIKWA NA KIFUSI CHUNYA, MKOANI MBEYE LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-nERG4-GKvUc/VoEkRJyvf6I/AAAAAAAIO_8/jWPW3UozMqY/s640/20151228031431.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gQT2quvcHfM/VoEkQvJHQ1I/AAAAAAAIO_4/tO4mOAdHqPo/s640/20151228031251.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jVIBFOlVhUE/VTuzdzg4GkI/AAAAAAAHTP8/mGDaTKS0QYo/s72-c/27F9E8A300000578-3055045-image-a-20_1429959005077.jpg)
BREAKING NYUZZZZ...: ZAIDI YA WATU 900 WADAIWA KUPOTEZA KWA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL
![](http://3.bp.blogspot.com/-jVIBFOlVhUE/VTuzdzg4GkI/AAAAAAAHTP8/mGDaTKS0QYo/s1600/27F9E8A300000578-3055045-image-a-20_1429959005077.jpg)
Taarifa zinadai kuna uharibifu katika maeneo ya nje ya kitovu cha tetemeko hilo lenye ukubwa wa kipimo cha richter cha 7.9 maili 50 kutoka Pokhara mji wa pili kwa ukubwa nchini Nepal.
Tetetemeko hilo la ardhi ni kubwa kabisa kuwahi kuikumba nchi hiyo katika kipindi cha miaka 81...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-YgpS1e5jU/Vn1EtMaZZNI/AAAAAAADEQ4/2PScFXFFqOs/s72-c/1451042251292.jpg)
WATU ZAIDI YA KUMI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI YA LORI KUPINDUKA WILAYANI LUSHOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-YgpS1e5jU/Vn1EtMaZZNI/AAAAAAADEQ4/2PScFXFFqOs/s640/1451042251292.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1qU74bHi8f8/Vn1EnGDi29I/AAAAAAADEQo/u_Yxhuf-B1g/s640/1451042280884.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-thAD6fmcySM/Vn1EoULa_tI/AAAAAAADEQw/uaXw2GJ9_D4/s640/1451042266575.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaeN0USWN0ePczV5SNlUe7WhJ9f9W4rACov6pIjTVPD8lHdbttw2YDgvtSJF-wH20uKIdf11ZBgmGdwFtU2DyWMh/150430072306_nepal_teenager_rescued_five_days_640x360_reuters_nocredit.jpg?width=650)
NEPAL: KIJANA AOKOLEWA AKIWA HAI BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI KWA SIKU TANO
Kijana aliyeokolewa baada ya kufunikwa na kifusi kwa siku tano wakati wa tetemeko la ardhi mjini Kathmandu. Kufuatia tetemeko kubwa la aridhi kuukumba Mji wa Kathmandu nchini Nepal siku tano zilizopita, waokoaji wamefanikiwa kumuokoa kijana mmoja mwenye umri wa miaka 15 aliyepatikana hai baada ya kufunikwa na vifusi vya jengo alilokuwemo wakati wa tetemeko hilo. Licha ya kuwa chini ya maporomoko ya vifusi hivyo kwa siku tano,...
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Watu zaidi wahofiwa kufukiwa na kifusi
Zaidi ya Watu 130 wahofiwa kufukiwa na kifusi cha jengo lililoporomoka nchini India
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mdp7Rsoj5oE/VTDLy0RCDbI/AAAAAAAHRoQ/49EDWcJAkLI/s72-c/IMG-20150417-WA0004%2Bcopy.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ....: AJALI NYINGINE YATOKEA JIJINI MBEYA LEO, ZAIDI YA WATU 20 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA
Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii hivi punde toka Wilayani Rungwe, Jijini Mbeya inaeleza kuwa Basi dogo aina ya Toyota Hiace imetumbukia kwenye Mto Kiwira mapema leo na inadaiwa kuwa zaidi ya watu 20 waliokuwepo kwenye basi hilo wamepoteza Maisha.
Kwa mujibu wa mtoa taarifa, amesema kwamba ajali hii imetokea wakati Mabasi yafanyayo safari zake kati ya Mbeya na Kyela (maarufu kama Coaster) kugoma kutoa huduma ya kusafirisha abiria katika maeneo hayo, hivyo baadhi ya hiace za mjini kuamua...
Kwa mujibu wa mtoa taarifa, amesema kwamba ajali hii imetokea wakati Mabasi yafanyayo safari zake kati ya Mbeya na Kyela (maarufu kama Coaster) kugoma kutoa huduma ya kusafirisha abiria katika maeneo hayo, hivyo baadhi ya hiace za mjini kuamua...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10