Watu zaidi wahofiwa kufukiwa na kifusi
Zaidi ya Watu 130 wahofiwa kufukiwa na kifusi cha jengo lililoporomoka nchini India
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WACHIMBAJI WA DHAHABU ZAIDI YA 20 WADAIWA KUFARIKI DUNIA KWA KUFUKIWA KIFUSI HUKO KAHAMA
Wachimbaji wadogo wadogo wapatao 20 wa dhahabu katika machimbo ya madogo yaliyopo kwenye kijiji cha Kalole kata ya Runguya tarafa ya Msalala wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, wamedaiwa kufariki dunia baada ya kufunikwa na kifusi kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo hayo.
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha amesema kuwa usiku wa kuamkia leo kuna wachimbaji ambao walivamia machimbo hayo ambayo yaliachwa kuchimbwa muda mrefu na ndipo wakaanza shughuli ya...
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha amesema kuwa usiku wa kuamkia leo kuna wachimbaji ambao walivamia machimbo hayo ambayo yaliachwa kuchimbwa muda mrefu na ndipo wakaanza shughuli ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeqFvw18kiKeJR8CRsLh5StEOpCqoKRUTWVkitZqf6XjRRuJhQfxZrZ5EDf2oRzGpTOSoqZpk2bSo6u-zFoOULJy/1.jpg?width=650)
WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO
WATU zaidi ya wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa matofali. Tayari mpaka sasa mwili wa mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Bless Adrian, mkazi wa kijiji cha Nganjoni wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro umepatikana. Juhudi za kutafuta miili mingine inaendelea licha ya kukabiliwa na changamoto ya zana za kufukulia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V9M5yD8pkM0/U8OoB-Q5CDI/AAAAAAAF2BQ/8m5LbPEUIPw/s72-c/IMG-20140714-WA0003.jpg)
Breaking Nyuzzzz: WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO
Zaidi ya watu wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa tofari. Tayari mpaka sasa mwili wa mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Bless Adrian, mkazi wa kijiji cha Nganjoni wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro. Juhudi za kutafuta miili mingine inaendelea licha ya kukabiliwa na changamoto ya zana za kufukulia kifusi.![](http://1.bp.blogspot.com/-V9M5yD8pkM0/U8OoB-Q5CDI/AAAAAAAF2BQ/8m5LbPEUIPw/s1600/IMG-20140714-WA0003.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sbP_7JUmCV0/U8OoDrN-K8I/AAAAAAAF2BY/fJ2wMNQwu5Y/s1600/IMG-20140714-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8V4iA-UKltU/U8OoFVH2-8I/AAAAAAAF2Bg/WrquhKDeEjA/s1600/IMG-20140714-WA0000.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V9M5yD8pkM0/U8OoB-Q5CDI/AAAAAAAF2BQ/8m5LbPEUIPw/s1600/IMG-20140714-WA0003.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sbP_7JUmCV0/U8OoDrN-K8I/AAAAAAAF2BY/fJ2wMNQwu5Y/s1600/IMG-20140714-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8V4iA-UKltU/U8OoFVH2-8I/AAAAAAAF2Bg/WrquhKDeEjA/s1600/IMG-20140714-WA0000.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4eheHYrXlEA/U8OoHnxpleI/AAAAAAAF2Bo/3xoFkONwSvE/s1600/IMG-20140714-WA0001.jpg)
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Zaidi wa watu 50 wahofiwa kuzama-Libya
Zaidi ya watu hamsini hawajulikani waliko baada ya meli walimokuwa wakisafiria kuanza kuzama katika pwani ya Libya
11 years ago
Mwananchi04 May
Watu zaidi ya 2,500 wafukiwa na kifusi
Watu zaidi ya 2,500 wanahofiwa kufariki dunia baada ya kufukiwa na mmomonyoko wa ardhi Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo katika Jimbo la Badakhshan.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WATATU WAFARIKI KWA KUFUKIWA KIFUSI MACHIMBONI DAR
Shughuli ya uokoaji ikiendelea. Waokoaji baada ya kugundua mwili ulipo.…
10 years ago
GPLWATANO WANUSURIKA KIFO BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI JIJINI MWANZA
Rashid Mkumba Hamis ambaye ni mmoja wa majeruhi aliyevunjika mguu. Majeruhi katika tukio hilo wakihojiwa na wanahabari (hawapo pichani).…
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-YgpS1e5jU/Vn1EtMaZZNI/AAAAAAADEQ4/2PScFXFFqOs/s72-c/1451042251292.jpg)
WATU ZAIDI YA KUMI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI YA LORI KUPINDUKA WILAYANI LUSHOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-YgpS1e5jU/Vn1EtMaZZNI/AAAAAAADEQ4/2PScFXFFqOs/s640/1451042251292.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1qU74bHi8f8/Vn1EnGDi29I/AAAAAAADEQo/u_Yxhuf-B1g/s640/1451042280884.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-thAD6fmcySM/Vn1EoULa_tI/AAAAAAADEQw/uaXw2GJ9_D4/s640/1451042266575.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s72-c/MMG23716.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA:WANAFUNZI WATATU WA KIKE WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI CHA UDONGO WILAYA YA ILEJE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s1600/MMG23716.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMSsrQaX95s/VGW5CiUYoSI/AAAAAAADIJQ/I8dSTDwWyns/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
TUKIO HILO LIMETOKEA TAREHE 12.11.2014 MAJIRA YA SAA 12:00HRS...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania