Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zaidi wa watu 50 wahofiwa kuzama-Libya

Zaidi ya watu hamsini hawajulikani waliko baada ya meli walimokuwa wakisafiria kuanza kuzama katika pwani ya Libya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Watu zaidi wahofiwa kufukiwa na kifusi

Zaidi ya Watu 130 wahofiwa kufukiwa na kifusi cha jengo lililoporomoka nchini India

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tisa wahofiwa kuzama ajali ya boti

WAFANYABIASHARA tisa wakazi wa Kijiji cha Mpasa wilayani Nkasi mkoani Rukwa, wanahofiwa kufariki baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kwenda nchini Zambia kuzama kwenye eneo la Kipwa. Watu hao walikuwa wakienda...

 

9 years ago

Michuzi

WATU ZAIDI YA KUMI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI YA LORI KUPINDUKA WILAYANI LUSHOTO

Watu zaidi ya 10 wahofiwa kufariki Dunia eneo la Soni, Lushoto Mkoani Tanga kufuatia ajali ya Fuso iliyotokea kwenye Maulidi kuanguka nakubiringika bondeni. Chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana mpaka sasa. sehemu ya umati wa watu waliofika kushuhudia tukio la ajali hiyo iliyotokea Soni,Lushoto mkoani Tanga Baadhi ya mashuhuda wakitazama Lori hilo lililopelekea vifo vya watu zaidi ya kumi baada ya kupinduka na kubiringika bondeni,huko Soni,Lushoto mkoani Tanga

 

9 years ago

BBCSwahili

Mamia wahofiwa kufa maji Libya

Zoezi la uokoaji zinaendelea katika pwani ya Libya baada ya boti mbili zilizokuwa na zaidi ya wahamiaji 500 kuzama karibu na bandari ya Zuwara

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu baada ya boti iliyojaa wahamiaji kuzama Libya

Ripoti zinasema kuwa takriban watu 700 walikuwa kwenye boti hiyo iliyozama baada ya kukumbana na mawimbi makali karibu Libya

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 300 wahofiwa kula sumu Bulyanhulu

Zaidi ya watu 323 wakazi wa Kijiji cha namba 9 katika Kata ya Bulyanhulu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wanahofiwa kula sumu kali aina ya sodium cyanide inayotumiwa katika Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na Kampuni ya Acacia.

 

11 years ago

GPL

WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO

WATU zaidi ya wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa matofali. Tayari mpaka sasa mwili wa mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Bless Adrian, mkazi wa kijiji cha Nganjoni wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro umepatikana. Juhudi za kutafuta miili mingine inaendelea licha ya kukabiliwa na changamoto ya zana za kufukulia...

 

11 years ago

Michuzi

Breaking Nyuzzzz: WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO

Zaidi ya watu wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa tofari. Tayari mpaka sasa mwili wa mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Bless Adrian, mkazi wa kijiji cha Nganjoni wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro. Juhudi za kutafuta miili mingine inaendelea licha ya kukabiliwa na changamoto ya zana za kufukulia kifusi.


 

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi

JS76579997Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.

Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari 

[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).

Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3)  yakilia nje ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani