Tisa wahofiwa kuzama ajali ya boti
WAFANYABIASHARA tisa wakazi wa Kijiji cha Mpasa wilayani Nkasi mkoani Rukwa, wanahofiwa kufariki baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kwenda nchini Zambia kuzama kwenye eneo la Kipwa. Watu hao walikuwa wakienda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Zaidi wa watu 50 wahofiwa kuzama-Libya
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Kuzama kwa boti kwaua mamia DR Congo
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Hofu baada ya boti iliyojaa wahamiaji kuzama Libya
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Ajali ya boti yahofiwa kuua saba
BOTI ya Kilimanjaro II imekumbwa na dhoruba katika mkondo wa Nungwi ikitokea Pemba kwenda Unguja, na abiria saba wanahofiwa kufa. Dhoruba hiyo ilitokea jana mchana na boti hiyo ilielezwa kuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-YgpS1e5jU/Vn1EtMaZZNI/AAAAAAADEQ4/2PScFXFFqOs/s72-c/1451042251292.jpg)
WATU ZAIDI YA KUMI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI YA LORI KUPINDUKA WILAYANI LUSHOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-YgpS1e5jU/Vn1EtMaZZNI/AAAAAAADEQ4/2PScFXFFqOs/s640/1451042251292.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1qU74bHi8f8/Vn1EnGDi29I/AAAAAAADEQo/u_Yxhuf-B1g/s640/1451042280884.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-thAD6fmcySM/Vn1EoULa_tI/AAAAAAADEQw/uaXw2GJ9_D4/s640/1451042266575.jpg)
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Abiria 300 wa boti wanusurika ajali ya moto
NA MWANDISHI WETU,DAR ES SALAAM
ABIRIA 300 wamenusurika kufa baada ya Boti ya Royal waliyokuwa wakisafiria kutoka Kisiwa cha Unguja kwenda Pemba baada ya boti hiyo mali ya Kampuni ya Ocean Enterprises kuwaka moto ikiwa baharini.
Tukio hilo lilitokea nyakati za mchana katika eneo la Matumbini wakati ikielekea kuwasili katika Bandari ya Mkoani, Kisiwani Pemba.
Akizungumza na MTANZANIA kwa njia ya simu jana kutoka Unguja, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri Zanzibar, Omar Maalim alisema ajali...
5 years ago
Michuzi25 Jun
AJALI YA BOTI KIGOMA TISA WAFARIKI DUNIA
Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma Kamishna msaidizi MARTIN OTTIENO amethibitsha kutokea kwa ajali hiyo katika eneo la rasini na kusema kuwa Boti ilo liitwalo mv Nzeimana linalofanya safari zake kati ya Kijiji cha Sibwesa na ikola limezama likiwa abiria sitini ambapo abiria hamsini na moja wameokolewa.
Aidha Kamanda OTTIENO amesema chanzo cha ajali hiyo ni upepo mkali uliosababisha boti hilo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4eetaZGuG7s/XvSUp2kgvoI/AAAAAAALvYE/iT4wwxmtXAoHAMkZ2NlC93AWM3ZZ4xmgwCLcBGAsYHQ/s72-c/congo-boaot.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZZ:AJALI YA BOTI KIGOMA,TISA WAFARIKIKI DUNIA
WATU tisa wamefariki baada ya boti la abiria kuzama katika ziwa Tanganyika.
Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma Kamishna msaidizi MARTIN OTTIENO amethibitsha kutokea kwa ajali hiyo katika eneo la Rasini na kusema kuwa Boti ilo liitwalo mv Nzeimana linalofanya safari zake kati ya Kijiji cha Sibwesa na ikola limezama likiwa na abiria 60, ambapo abiria 51 wameokolewa.
Aidha Kamanda OTTIENO amesema chanzo cha ajali hiyo ni upepo mkali uliosababisha boti hilo kukosa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GTGmXc-aIKk/VDzHJP0MM5I/AAAAAAAGqaM/MYXDdqkpEOc/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI TOKA NRA KWA WAKAZI WA MKOA WA KIGOMA KWA AJALI YA BOTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-GTGmXc-aIKk/VDzHJP0MM5I/AAAAAAAGqaM/MYXDdqkpEOc/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es salaam NAIBU KATIBU MKUU TAIFA NA KATIBU MKUU WA BODI ya CHAMA CHA UJENZI WA TAIFA, NRA (NATIONAL RECONSTRUCTION ALLIANCE), Mhe HASSAN KISABYA ALMAS, ametoa pole kwa wananchi wa mkoa wa kigoma na Uongozi Mzima wa mkoa kwa msiba mzito uliowapata baada ya watu zaidi ya kumi kupoteza maisha kwa ajali ya boti.Ndugu Kisabya alisema, ajali ni jambo lisilotarajiwa na kuwataka ndugu jamaa na marafiki waliopoteza jamaa zao kuna na uvumilivu...