Kuzama kwa boti kwaua mamia DR Congo
Mamia ya watu wamepoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka na kuzama nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Tisa wahofiwa kuzama ajali ya boti
WAFANYABIASHARA tisa wakazi wa Kijiji cha Mpasa wilayani Nkasi mkoani Rukwa, wanahofiwa kufariki baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kwenda nchini Zambia kuzama kwenye eneo la Kipwa. Watu hao walikuwa wakienda...
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Hofu baada ya boti iliyojaa wahamiaji kuzama Libya
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Kutojali lishe kwaua watoto 179,000 kwa mwaka nchini
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mtoto afa kwa kuzama bondeni
KARIM Ramadhan (15), mkazi wa Miembe Saba wilayani Kibaha mkoani Pwani, amekufa baada ya kuzama kwenye bonde la shamba la mpunga. Mtoto huyo alizama alipokuwa akicheza na wenzake, ambapo alikuwa akijaribu kuvua samaki kwenye bwawa hilo lililopo Magereza. Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Ulrich Matei alithibitisha tukio hilo. Alisema kabla ya kifo hicho, mtoto huyo alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifafa.
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Watatu wafariki kwa kuzama baharini
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GTGmXc-aIKk/VDzHJP0MM5I/AAAAAAAGqaM/MYXDdqkpEOc/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI TOKA NRA KWA WAKAZI WA MKOA WA KIGOMA KWA AJALI YA BOTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-GTGmXc-aIKk/VDzHJP0MM5I/AAAAAAAGqaM/MYXDdqkpEOc/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es salaam NAIBU KATIBU MKUU TAIFA NA KATIBU MKUU WA BODI ya CHAMA CHA UJENZI WA TAIFA, NRA (NATIONAL RECONSTRUCTION ALLIANCE), Mhe HASSAN KISABYA ALMAS, ametoa pole kwa wananchi wa mkoa wa kigoma na Uongozi Mzima wa mkoa kwa msiba mzito uliowapata baada ya watu zaidi ya kumi kupoteza maisha kwa ajali ya boti.Ndugu Kisabya alisema, ajali ni jambo lisilotarajiwa na kuwataka ndugu jamaa na marafiki waliopoteza jamaa zao kuna na uvumilivu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6ZjzpdI9mqFehhWPSO1co617vdlWhgRX0RURQMP98xarRokNWbS0OhmuLX-YFbgruSg98CAtHFq2LXIclW4ebqW/southkoreaseeksarrestofsewolferrycaptain.jpg)
KUZAMA KWA FERI, WAZIRI MKUU KOREA KUSINI AJIUZULU
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GfEm3Ytt0bs/U4JssbgtxGI/AAAAAAAFk-M/tXAy3VbXfdM/s72-c/MMGN8616.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Usafiri Dar-Bagamoyo sasa kwa boti ya kasi