Usafiri Dar-Bagamoyo sasa kwa boti ya kasi
Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam sasa wataanza kusafiri kwa kutumia kivuko cha kisasa kutoka katikati ya jiji hadi Bagamoyo na mikoa mingine badala ya kutumia usafiri wa barabara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Dar imejipangaje usafiri wa mabasi yaendayo kasi?
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WbEdAuAiRq8/VYKuBXof9iI/AAAAAAAHg4w/AfkvTb0zom8/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
MAALIM SEIF ASAFIRI KWA BOTI KWENDA DAR NA KURUDI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-WbEdAuAiRq8/VYKuBXof9iI/AAAAAAAHg4w/AfkvTb0zom8/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nVhwnWoCPF8/VYKuBfJbMkI/AAAAAAAHg4s/0sCF9rL_omc/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
5 years ago
MichuziUjenzi wa SGR Waendelea kwa Kasi, Trilioni 2.957 Zatumika hadi Sasa
Na Frank Mvungi- MAELEZO
Serikali imetumia kiasi cha Shilingi Trilioni 2.957 kutekeleza mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa kwa kiwango cha Kimataifa (SGR) huku kasi ya utekelezaji ikiongezeka.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dodoma , Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo unaendelea kama ulivyopangwa.
“Mradi wa SGR kwa kipande cha Dar es Salaam na Morogoro umefikia...
10 years ago
Habarileo18 Feb
Songo Songo wapewa boti iendayo mwendo wa kasi
WAKAZI wa Kijiji cha Songo Songo mkoani Lindi, wamepatiwa msaada wa boti ya mwendo kasi ya kubeba wagonjwa yenye thamani ya Sh milioni 80 itakayosaidia kutatua tatizo la usafiri wa haraka uliokuwa ukiwakumba.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oD_9VyU3lZA/U09kAxxFXZI/AAAAAAAFbbc/K5gnLQTqPtc/s72-c/unnamed+(72).jpg)
TAHADHARI: AINA MPYA YA UHALIFU MTANDAO INAYO ENDELEA KUKUA KWA KASI HIVI SASA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-oD_9VyU3lZA/U09kAxxFXZI/AAAAAAAFbbc/K5gnLQTqPtc/s1600/unnamed+(72).jpg)
11 years ago
CloudsFM05 Jun
TANZANIA YA KWANZA AFRIKA MASHARIKI KATIKA USAFIRI WA MABASI YAENDAYO KASI - PINDA
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi za kwanza katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kuingia kwenye ubia na sekta binafsi katika mradi mkubwa wa usafirishaji abiria.
\Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumanne, Juni 3, 2014) wakati akifungua Mkutano wa Majadiliano yenye lengo la kuutangaza mradi wa mabasi yaendayo kasi kwenye ukumbi wa Mlimani City. Mkutano huo wa siku mbili, utamalizika kesho (Jumatano, Juni 4, 2014).
Waziri Mkuu amesema kutèkelezwa kwa mradi huo kutatoa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D50k8OojlzU/U44C4jRDCUI/AAAAAAAFnbk/Us-gY8PFcH8/s72-c/unnamed+(73).jpg)
TANZANIA YA KWANZA AFRIKA MASHARIKI KATIKA USAFIRI WA MABASI YAENDAYO KASI - PINDA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO yawaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar na mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s1600/Untitled1.png)
Kukosekana kwa huduma hii kulitokana na kazi ya mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (cross-connection) katika mtambo wa Ruvu Chini eneo la Mpiji, Bagamoyo na eneo la Chuo Kikuu Ardhi...
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Raha kwa wakazi wa Dar es Salaam, Bagamoyo