DAWASCO yawaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar na mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO inaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar es salaam na Mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya Maji kutoka katika mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu Chini kwa wastani wa saa 72 kwa siku za Ijumaa hadi Jumatatu ya tarehe 28, 29 na 30 November 2014.
Kukosekana kwa huduma hii kulitokana na kazi ya mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (cross-connection) katika mtambo wa Ruvu Chini eneo la Mpiji, Bagamoyo na eneo la Chuo Kikuu Ardhi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hTj7WLfEqZI/Vmq4IMczytI/AAAAAAAILos/3VhcYCvNdmk/s72-c/download%2B%25281%2529.jpeg)
DAWASCO YATANGAZA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MAJI JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-hTj7WLfEqZI/Vmq4IMczytI/AAAAAAAILos/3VhcYCvNdmk/s640/download%2B%25281%2529.jpeg)
Sababu ya kuzimwa kwa mtambo huo ni kuruhusu kufanya matengenezo na maboresho ya njia kubwa ya Maji inayohudumia eneo la Salasala na viunga vyake vyote.
Akiongea na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BRx28aSBj2I/VL1iLP8srvI/AAAAAAAG-Wo/nJXzXzDCKCs/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO YATANGAZA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA SIKU MBILI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-BRx28aSBj2I/VL1iLP8srvI/AAAAAAAG-Wo/nJXzXzDCKCs/s1600/Untitled1.png)
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini kutasababisha maeneo yafuatayo kukosa Maji; Mji wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b3_6SbxawIc/Vkspvn-ZwtI/AAAAAAAIGbM/vkorSoLEObM/s72-c/Sharif%2B01.jpg)
Serikali Kuboresha Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam
Serikali inatarajia kuzalisha maji lita milioni 270 kwa siku baada ya kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa Chanzo cha Maji cha Ruvu Chini na upanuzi wa mtambo wa kusafishia maji.
Mradi huo unaotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Kimarekani la Millenium Challenge Co-operation umegharimu kiasi cha shilingi bilioni 66.24 na unatarajiwa kukamilika wakati wowote baada ya kukamilika kwa kazi ya kulaza bomba linalosafirisha maji toka Ruvu chini kuja...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-m6xOQqwBdcs/VIB0UkdWF0I/AAAAAAAG1SY/lHHeUmFwXGI/s72-c/dawasco-March6-2013.jpg)
TAARIFA YA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA MLANDIZI, KIMARA NA TABATA
![](http://3.bp.blogspot.com/-m6xOQqwBdcs/VIB0UkdWF0I/AAAAAAAG1SY/lHHeUmFwXGI/s1600/dawasco-March6-2013.jpg)
Hali hii imelazimisha kupungua kwa uzalishaji Maji.
Mafundi wa DAWASCO wanaendelea na matengenezo na kuhakikisha Pampu hii inafanya kazi na Huduma ya Maji itarejea katika hali ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zKHIGOqXCi0/VGhfSLkq6QI/AAAAAAAGxlY/sGDBLdXwTtA/s72-c/003.BAGAMOYO.jpg)
Vodacom wasogeza huduma kwa wakazi wa mji wa kihistoria wa Bagamoyo
![](http://3.bp.blogspot.com/-zKHIGOqXCi0/VGhfSLkq6QI/AAAAAAAGxlY/sGDBLdXwTtA/s1600/003.BAGAMOYO.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BQz8rFpSOQI/VGhfTGQ2aZI/AAAAAAAGxlo/4uuLGrdniUs/s1600/004.BAGAMOYO.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7X1wIOHFtryWPusUtX3eosXsLBRV3ICYjRt2IqiXS8WC0xkUkDDfZHqbiSyx9AXitACnfMJEtFn8VWGda1h1fz-F09G52Uww/3001.BAGAMOYO.jpg?width=650)
VODACOM WASOGEZA HUDUMA KWA WAKAZI WA MJI WA KIHISTORIA WA BAGAMOYO
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Kukosekana kwa Huduma ya Maji jijini Dar
Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO), limetangaza tatizo la upatikanaji wa huduma ya Maji katika maeneo yote yanayohudumiwa na mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu chini pamoja na baadhi ya maeneo ya Mji wa Bagamoyo mkoani Pwani kutokana na mtambo huo kuzimwa kwa wastani saa 24 siku ya Jumapili tarehe 13/12/2015.
Sababu ya kuzimwa kwa mtambo huo ni kuruhusu kufanya matengenezo na maboresho ya njia kubwa ya Maji inayohudumia eneo la Salasala na viunga vyake vyote.
Akiongea...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_-yD92zLSWI/VE-tVefuSaI/AAAAAAAGt20/9yKIL_K6aSs/s72-c/viewer6.png)
TAARIFA YA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA SIKU MBILI JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-_-yD92zLSWI/VE-tVefuSaI/AAAAAAAGt20/9yKIL_K6aSs/s1600/viewer6.png)
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini kutasababisha maeneo yafuatayo kukosa...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Serikali khuduma ya maji kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam.
Na. Georgina Misama – Maelezo
[DAR ES SALAAM] Serikali inatarajia kuzalisha maji lita milioni 270 kwa siku baada...