DAWASCO YATANGAZA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MAJI JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-hTj7WLfEqZI/Vmq4IMczytI/AAAAAAAILos/3VhcYCvNdmk/s72-c/download%2B%25281%2529.jpeg)
Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO), limetangaza tatizo la upatikanaji wa huduma ya Maji katika maeneo yote yanayohudumiwa na mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu chini pamoja na baadhi ya maeneo ya Mji wa Bagamoyo mkoani Pwani kutokana na mtambo huo kuzimwa kwa wastani saa 24 siku ya Jumapili tarehe 13/12/2015.
Sababu ya kuzimwa kwa mtambo huo ni kuruhusu kufanya matengenezo na maboresho ya njia kubwa ya Maji inayohudumia eneo la Salasala na viunga vyake vyote.
Akiongea na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BRx28aSBj2I/VL1iLP8srvI/AAAAAAAG-Wo/nJXzXzDCKCs/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO YATANGAZA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA SIKU MBILI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-BRx28aSBj2I/VL1iLP8srvI/AAAAAAAG-Wo/nJXzXzDCKCs/s1600/Untitled1.png)
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini kutasababisha maeneo yafuatayo kukosa Maji; Mji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO yawaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar na mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s1600/Untitled1.png)
Kukosekana kwa huduma hii kulitokana na kazi ya mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (cross-connection) katika mtambo wa Ruvu Chini eneo la Mpiji, Bagamoyo na eneo la Chuo Kikuu Ardhi...
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Kukosekana kwa Huduma ya Maji jijini Dar
Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO), limetangaza tatizo la upatikanaji wa huduma ya Maji katika maeneo yote yanayohudumiwa na mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu chini pamoja na baadhi ya maeneo ya Mji wa Bagamoyo mkoani Pwani kutokana na mtambo huo kuzimwa kwa wastani saa 24 siku ya Jumapili tarehe 13/12/2015.
Sababu ya kuzimwa kwa mtambo huo ni kuruhusu kufanya matengenezo na maboresho ya njia kubwa ya Maji inayohudumia eneo la Salasala na viunga vyake vyote.
Akiongea...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t0X1FYTBRW8/VmAQ6P6pUWI/AAAAAAAIJ98/To4l9twnJBw/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO YATANGAZA KUANZA KUTUMIKA KWA BEI MPYA YA MAJI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-t0X1FYTBRW8/VmAQ6P6pUWI/AAAAAAAIJ98/To4l9twnJBw/s640/Untitled1.png)
Gharama hizo mpya ambazo zimeanza rasmi kutumika Disemba 01, zimepanda...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_-yD92zLSWI/VE-tVefuSaI/AAAAAAAGt20/9yKIL_K6aSs/s72-c/viewer6.png)
TAARIFA YA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA SIKU MBILI JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-_-yD92zLSWI/VE-tVefuSaI/AAAAAAAGt20/9yKIL_K6aSs/s1600/viewer6.png)
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini kutasababisha maeneo yafuatayo kukosa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-m6xOQqwBdcs/VIB0UkdWF0I/AAAAAAAG1SY/lHHeUmFwXGI/s72-c/dawasco-March6-2013.jpg)
TAARIFA YA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA MLANDIZI, KIMARA NA TABATA
![](http://3.bp.blogspot.com/-m6xOQqwBdcs/VIB0UkdWF0I/AAAAAAAG1SY/lHHeUmFwXGI/s1600/dawasco-March6-2013.jpg)
Hali hii imelazimisha kupungua kwa uzalishaji Maji.
Mafundi wa DAWASCO wanaendelea na matengenezo na kuhakikisha Pampu hii inafanya kazi na Huduma ya Maji itarejea katika hali ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-m2OfxrXx-_c/U6Cs5lnjlZI/AAAAAAAFrV8/yuXKCk07o30/s72-c/Picture+3840.jpg)
FUATENI TARATIBU SAHIHI ZA UPATIKANAJI HUDUMA ZA MAJI - DAWASCO
Hayo yameelezwa na Afisa Uhusiano wa Dawasco Bi Everlasting Lyaro wakati wa maadhimisho ya wiki ya Utumishi iliyofunguliwa rasmi jana jijini Dar.
Alisema kauli mbiu ya mwaka huu inaendana na dhima nzima ya utumishi uliotukuka unaoainsha misingi ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rzt-xHwEGDk/VLoaruceLhI/AAAAAAAG98Y/KC3YhrJ3YZE/s72-c/IMG-20150117-WA013.jpg)
DAWASCO YAJIDHATITI KUDHIBITI UPOTEVU WA MAJI JIJINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rzt-xHwEGDk/VLoaruceLhI/AAAAAAAG98Y/KC3YhrJ3YZE/s1600/IMG-20150117-WA013.jpg)
Kiwango cha Maji kinachopotea kwa mujibu wa DAWASCO ni kwa asilimia 54 ambapo kiwango hicho ni kikubwa zaidi kutoka kile cha kimataifa cha asilimia 16 kinachotakiwa.
Ofisa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_7xl9xKq7eg/VOR2q2j0BCI/AAAAAAAHEWQ/M0bu9TnM9FI/s72-c/unnamedz.jpg)
DAWASCO YALIA NA WAHUJUMU WA MIUNDOMBINU YA MAJI JIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-_7xl9xKq7eg/VOR2q2j0BCI/AAAAAAAHEWQ/M0bu9TnM9FI/s1600/unnamedz.jpg)
Vyuma Chakavu hivyo ambavyo ni mifuniko ya chemba za Majitaka za DAWASCO zimebainika baada ya uchunguzi wa kina na taarifa kutoka kwa wasamaria wema kuhusu upatikanaji wa mifuniko hiyo kiwandani hapo.
Afisa Uhusiano...