DAWASCO YAJIDHATITI KUDHIBITI UPOTEVU WA MAJI JIJINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rzt-xHwEGDk/VLoaruceLhI/AAAAAAAG98Y/KC3YhrJ3YZE/s72-c/IMG-20150117-WA013.jpg)
Kilio cha watanzania hususani wakazi wa jiji la Dar ni kero ya upatikaji Majisafi na Salama kwa matumizi mbalimbali. Kumekuwa na sababu nyingi zinazochangia wananchi kutopata Maji hayo ikiwemo sababu ya uharibifu wa Miundombinu kwa wananchi wasiokuwa waaminifu kwa kukata mabomba na kujiunganishia Maji kiholela.
Kiwango cha Maji kinachopotea kwa mujibu wa DAWASCO ni kwa asilimia 54 ambapo kiwango hicho ni kikubwa zaidi kutoka kile cha kimataifa cha asilimia 16 kinachotakiwa.
Ofisa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
DAWASCO yadhibiti upotevu wa maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limeamua kudhibiti upotevu wa maji katika Jiji la Dar es Salaam ambao unawapunguzia mapato. Ofisa Uhusiano wa shirika hilo, Everlasting Lyaro,...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Serikali kudhibiti upotevu wa maji
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_7xl9xKq7eg/VOR2q2j0BCI/AAAAAAAHEWQ/M0bu9TnM9FI/s72-c/unnamedz.jpg)
DAWASCO YALIA NA WAHUJUMU WA MIUNDOMBINU YA MAJI JIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-_7xl9xKq7eg/VOR2q2j0BCI/AAAAAAAHEWQ/M0bu9TnM9FI/s1600/unnamedz.jpg)
Vyuma Chakavu hivyo ambavyo ni mifuniko ya chemba za Majitaka za DAWASCO zimebainika baada ya uchunguzi wa kina na taarifa kutoka kwa wasamaria wema kuhusu upatikanaji wa mifuniko hiyo kiwandani hapo.
Afisa Uhusiano...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hTj7WLfEqZI/Vmq4IMczytI/AAAAAAAILos/3VhcYCvNdmk/s72-c/download%2B%25281%2529.jpeg)
DAWASCO YATANGAZA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MAJI JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-hTj7WLfEqZI/Vmq4IMczytI/AAAAAAAILos/3VhcYCvNdmk/s640/download%2B%25281%2529.jpeg)
Sababu ya kuzimwa kwa mtambo huo ni kuruhusu kufanya matengenezo na maboresho ya njia kubwa ya Maji inayohudumia eneo la Salasala na viunga vyake vyote.
Akiongea na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BRx28aSBj2I/VL1iLP8srvI/AAAAAAAG-Wo/nJXzXzDCKCs/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO YATANGAZA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA SIKU MBILI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-BRx28aSBj2I/VL1iLP8srvI/AAAAAAAG-Wo/nJXzXzDCKCs/s1600/Untitled1.png)
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini kutasababisha maeneo yafuatayo kukosa Maji; Mji wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t0X1FYTBRW8/VmAQ6P6pUWI/AAAAAAAIJ98/To4l9twnJBw/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO YATANGAZA KUANZA KUTUMIKA KWA BEI MPYA YA MAJI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-t0X1FYTBRW8/VmAQ6P6pUWI/AAAAAAAIJ98/To4l9twnJBw/s640/Untitled1.png)
Gharama hizo mpya ambazo zimeanza rasmi kutumika Disemba 01, zimepanda...
10 years ago
Dewji Blog06 Feb
Serikali yajidhatiti kudhibiti ujangili na biashara haramu Nchini
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa akijibu swali bungeni.(Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma).
Na Lorietha Laurence-Maelezo, Dodoma
SERIKALI imejidhatiti katika kudhibiti ujangili na biashara haramu ya mazao ya maliasili kwa kuridhia na kutekeleza mikataba minne ya kudhibiti ujangali wa tembo na unaovuka mipaka na kulinda mapori ya akiba.
Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Utalii na Maliasili Mahmoud Mgimwa, bungeni Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mch. Peter...
10 years ago
MichuziSerikali yajidhatiti Kudhibiti Makosa ya Utakatishaji fedha haramu Nchini- AG Masaju
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Dawasco yazima mitambo ya maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) limezima mitambo miwili ya uzalishaji maji kwenye mitambo yake ya Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na Mtoni uliopo Temeke, Dar...