Serikali kudhibiti upotevu wa maji
 Zaidi ya asilimia 55 ya maji yanayozalishwa kwa matumizi Mkoa wa Dar es Salaam, yanapotea kabla ya kuwafikia watumiaji kutokana na kuvuja, wizi na uchakavu wa miundombinu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rzt-xHwEGDk/VLoaruceLhI/AAAAAAAG98Y/KC3YhrJ3YZE/s72-c/IMG-20150117-WA013.jpg)
DAWASCO YAJIDHATITI KUDHIBITI UPOTEVU WA MAJI JIJINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rzt-xHwEGDk/VLoaruceLhI/AAAAAAAG98Y/KC3YhrJ3YZE/s1600/IMG-20150117-WA013.jpg)
Kiwango cha Maji kinachopotea kwa mujibu wa DAWASCO ni kwa asilimia 54 ambapo kiwango hicho ni kikubwa zaidi kutoka kile cha kimataifa cha asilimia 16 kinachotakiwa.
Ofisa...
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Serikali ya Mapinduzi ZNZ yakanusha wawakilishi kuihusisha serikali ya oman na upotevu wa nyaraka za serikali
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa pili wa Rais Zanzibar Mohamed Aboud Mohamed.
Na MAELEZO ZANZIBAR
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR IMEKANUSHA TAARIFA ZILIZOTOLEWA NA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI KWAMBA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI WALIIHUSISHA SERIKALI YA OMAN NA UPOTEVU WA NYARAKA ZA SERIKALI.
HAYO YAMEELEZWA NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR MOHAMED ABOUD MOHAMED KATIKA TAARIFA YAKE ALIYOITOWA KWA VYOMBO VYA HABARI.
TAARIFA HIYO IMESEMA HAKUNA HATA MJUMBE...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
DAWASCO yadhibiti upotevu wa maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limeamua kudhibiti upotevu wa maji katika Jiji la Dar es Salaam ambao unawapunguzia mapato. Ofisa Uhusiano wa shirika hilo, Everlasting Lyaro,...
10 years ago
StarTV03 Dec
Upotevu wa dawa, Serikali kuwachukulia hatua wanaosababisha.
Na Abdallah Tilata,
Mwanza.
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dokta Kebwe Steven Kebwe amesema serikali itawachukulia hatua viongozi wa mikoa na wilaya zote nchini watakaoshindwa kudhibiti mianya ya upotevu wa dawa zinazosambazwa katika maeneo yao.
Takwimu zinaonyesha asilimia 40 ya dawa zinazopelekwa katika hospitali mbalimbali nchini zinafikia kwenye mikono isiyo salama hali inayoendelea kuigharimu serikali kuagiza dawa nje ya nchi.
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dokta...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GO3kWBAoLmA/U331IVh4O8I/AAAAAAAFkds/QwC9hKd8MjM/s72-c/MAJI+1.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MAJI, YAZINDUA MWONGOZO WA UTENDAJI KWA MAMLAKA ZA MAJI NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-GO3kWBAoLmA/U331IVh4O8I/AAAAAAAFkds/QwC9hKd8MjM/s1600/MAJI+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WC6XwrZelSA/U331G3bkx9I/AAAAAAAFkdY/MC3Z_ucX-6M/s1600/MAJI+-2.jpg)
10 years ago
Habarileo29 Apr
Serikali yaanza kudhibiti Shilingi
SERIKALI imesema imeshaanza kuchukua hatua za kudhibiti kuporomoka kwa kasi kwa Shilingi. Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Fedha Masoko wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Alexander Ng’winamila, alisema kamwe Serikali haiwezi kulikalia kimya suala hilo.
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Serikali kudhibiti matumizi kemikali
9 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII
10 years ago
MichuziSERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.