Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali kudhibiti matumizi kemikali

>Katika kupambana na matumizi mabaya ya kemikali, Serikali inaandaa kanuni zitakazosimamia matumizi mabaya ya kemikali hizo hapa nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.

 Makamu Mkuu wa Chuo cha Bagamoyo.Profesa Costa Mahalu akizungumza na waandishi wa habari leo juu ya utumiaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika semina iliyofanyika leo katika hoteli ya New Afrika,Jijini Dar es Salaam.Katibu Mkuu wa Wizara ya Sayansi,Teknolojia na Mawasiliano,Profesa Patrick Makungu akizungumza na waandishi wa habari leo juu ya utumiaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika semina iliyofanyika leo katika hoteli ya New Afrika,Jijini Dar es...

 

9 years ago

CCM Blog

KAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII



Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza na Waandishi wa Habari, leo kwenye ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo)IFUATAYO NI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KAMA ILIVYOWASILISHWA LEO NA KINANA  Jana tarehe 07/12/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ilifanya kikao chake cha kawaida mjini Dar es salaam kwa siku moja. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

10 years ago

GPL

MKEMIA MKUU ABORESHA MATUMIZI YA KEMIKALI ZA MAABARA

Msimamizi wa Utafiti na Mifumo ya Ubora katika ofisi ya Mkemia Mkuu, Benny Mallya (kushoto) akitoa ufafanuzi.  Kulia ni Afisa Habari Idara ya Maelezo, Fatma Salum. Wanahabari waliofika kwenye hafla hiyo. Mallya akionyesha Cheti cha  Kimataifa cha Ubora katika Uthibiti na Ukaguzi katika ofisi ya Mkemia Mkuu . WAKALA Mkuu…

 

5 years ago

Michuzi

Wajasiriamali waaswa matumizi salama ya Kemikali nchini



Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii

Wajasiriamali wanaozalishaji wa bidhaa mbalimbali zinzotumia kemikali wametakiwa kutumia kemikali hizo kwa usalama ili ziweze kuleta madhara kwa  watumiaji na wakati mwingine madhara hayo yanaweza kutokea hata kwa wazalishaji.

Akizungumza  katika Mafunzo ya wajasiriamali wa Wadogo na Kati wa Kanda ya Mashariki  yaliyofanyika  jijini Dar es Salaam Mkemia Mkuu wa Serikali Dkt. Fidelice Mafumiko amesema kuwa uchumi wa viwanda nchini pamoja na wazalishaji  wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Dk. Makongoro Mahanga afungua kongamano la afya na usalama katika matumizi ya Kemikali sehemu za kazi ndogo

 Washiriki wakijiandikisha nje ya ukumbi kabla ya kuanza kwa kongamano la afya na usalama katika matumizi ya kemikali sehemu za kazi

 Zoezi la uandikishaji na uhakiki wa majina ya washiriki wa kongamano ukiendelea

 Mgeni rasmi Naibu Waziri wa kazi Mhe Dk Makongoro Mahanga akiingia ukumbini

 Wajasiriliamali wakiwa wamesimama kumpokea Mgeni Rasmi Naibu Waziri wa kazi Dk Makongoro Mahanga

 Dk Akwilina Kayumba akitoa neno la kumkaribisha Naibu Waziri wa Kazi ndani ya ukumbi wa ILO jijini...

 

11 years ago

Habarileo

Kanuni kudhibiti matumizi ya mtandao

WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema kuwa wizara yake inatayarisha Kanuni, zitakazodhibiti matumizi mabaya ya mtandao wa intaneti, ikiwemo uwekezaaji wa picha chafu mtandaoni.

 

10 years ago

Vijimambo

MISWAADA KUDHIBITI MATUMIZI YA SIMU YAJA

26 March 2015.
Serikali ya Tanzania imesema mnamo mapema mwakani iyapeleka bungeni miswada mitatu ya sheria za usalama wa mtandao yenye lengo la kuongeza usalama wa matumizi ya huduma za kimtandao.Aidha, kumekuwa na jumla ya matukio ya makosa mbalimbali ya kimtandao yaliyoripotiwa Polisi kati ya 2012 hadi 2014, huku kesi 212 zenye watuhumiwa 132 zikifikishwa mahakamani.
Naibu Waziri wa Mawasilino,Sayansi na Teknolojia, January Makamba aliyasema hayo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge...

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YABORESHA MATUMIZI YA TEHAMA KUDHIBITI CORONA

Na Magreth Kinabo- Mahakama
TEHAMA

Mahakama ya Tanzania imesikiliza jumla ya mashauri 1,519 kupitia Mahakama Mtandao (Video Conferencing) kati ya Machi 23 hadi Aprili 21mwaka huu ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Jaji Mkuu wa Tanzania alilolitoa Machi 23 mwaka huu.

Ambapo akiitaka Mahakama kutumia Tekknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kupambana na ugonjwa wa COVID 19 unaosababishwa na virusi vya Corona.

Mkurugenzi Msaidizi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Mahakama...

 

10 years ago

Vijimambo

Uzinduzi wa kanuni ya kudhibiti matumizi ya misumeno ya moto

Baadhi ya misumeno ya moto iliokamatwa katika sehemu mbalimbali ambayo ikitumika katika kukata miti ikiwa imewekwa kusubiri kuangamizwa kwa moto katika Uzinduzi wa Kanuni ya kudhibiti na matumizi ya Misumeno ya moto Maruhubi mjini Zanzibar.Wafanyakazi wa Kilimo na mali ya Asili wakikusanya kuni kwa ajili ya kuichoma moto Misumeno ya moto iliokamatwa sehemu mbalimbali katika Uzinduzi wa Kanuni ya kudhibiti na matumizi ya Misumeno ya moto Maruhubi mjini Zanzibar.Mkurugenzi wa Idara ya Misitu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani