Uzinduzi wa kanuni ya kudhibiti matumizi ya misumeno ya moto
Baadhi ya misumeno ya moto iliokamatwa katika sehemu mbalimbali ambayo ikitumika katika kukata miti ikiwa imewekwa kusubiri kuangamizwa kwa moto katika Uzinduzi wa Kanuni ya kudhibiti na matumizi ya Misumeno ya moto Maruhubi mjini Zanzibar.
Wafanyakazi wa Kilimo na mali ya Asili wakikusanya kuni kwa ajili ya kuichoma moto Misumeno ya moto iliokamatwa sehemu mbalimbali katika Uzinduzi wa Kanuni ya kudhibiti na matumizi ya Misumeno ya moto Maruhubi mjini Zanzibar.
Mkurugenzi wa Idara ya Misitu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Jun
Kanuni kudhibiti matumizi ya mtandao
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema kuwa wizara yake inatayarisha Kanuni, zitakazodhibiti matumizi mabaya ya mtandao wa intaneti, ikiwemo uwekezaaji wa picha chafu mtandaoni.
9 years ago
StarTV01 Oct
Misumeno ya moto 45 yateketezwa Zanzibar
Jumla ya misumeno ya moto 45 inayosadikiwa kuangamiza kwa kiasi kikubwa misitu ya asili visiwani Zanzibar imeteketezwa kwa moto visiwani Zanzibar baada ya kubainika kuwa wamiliki wake wanaitumia kinyume na taratibu zilizopo.
Kutokana na hali hiyo Serikali ya Zanzibar imezindua sheria mpya ya kudhibiti matumizi ya misumeno hiyo inayopiga marufuku mtu yeyote kumiliki ama kuingiza nchini aina ya misumeno hiyo bila ya kibali maalum kwa mamlaka husika lengo likiwa kunusuru uharibifu mkubwa wa...
11 years ago
Habarileo14 Dec
Wafikiri kubadili kanuni kudhibiti utoro barazani
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amesema kamati ya uongozi ya Baraza la Wawakilishi inatazamiwa kukaa na kuangalia uwezekano wa kubadilisha kanuni za Baraza kwa ajili ya kudhibiti utoro wa wajumbe ambao ulisababisha kikao kuahirishwa kwa dakika 15.
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Serikali kudhibiti matumizi kemikali
10 years ago
Vijimambo28 Mar
MISWAADA KUDHIBITI MATUMIZI YA SIMU YAJA
![](http://dunialeo.com/my/data/posts/1427354023-makambabunge_300_257.png)
Serikali ya Tanzania imesema mnamo mapema mwakani iyapeleka bungeni miswada mitatu ya sheria za usalama wa mtandao yenye lengo la kuongeza usalama wa matumizi ya huduma za kimtandao.Aidha, kumekuwa na jumla ya matukio ya makosa mbalimbali ya kimtandao yaliyoripotiwa Polisi kati ya 2012 hadi 2014, huku kesi 212 zenye watuhumiwa 132 zikifikishwa mahakamani.
Naibu Waziri wa Mawasilino,Sayansi na Teknolojia, January Makamba aliyasema hayo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge...
10 years ago
MichuziSERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GCGx0cn1OnY/XqB1nL3WeYI/AAAAAAALn3U/F607eqgK6s0Vjh-E8kWdR5JDZHy0mkiZgCLcBGAsYHQ/s72-c/Mahakamapic.jpg)
MAHAKAMA YABORESHA MATUMIZI YA TEHAMA KUDHIBITI CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GCGx0cn1OnY/XqB1nL3WeYI/AAAAAAALn3U/F607eqgK6s0Vjh-E8kWdR5JDZHy0mkiZgCLcBGAsYHQ/s400/Mahakamapic.jpg)
TEHAMA
Mahakama ya Tanzania imesikiliza jumla ya mashauri 1,519 kupitia Mahakama Mtandao (Video Conferencing) kati ya Machi 23 hadi Aprili 21mwaka huu ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Jaji Mkuu wa Tanzania alilolitoa Machi 23 mwaka huu.
Ambapo akiitaka Mahakama kutumia Tekknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kupambana na ugonjwa wa COVID 19 unaosababishwa na virusi vya Corona.
Mkurugenzi Msaidizi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Mahakama...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Sheria kudhibiti matumizi ya tindikali nchini yaiva
10 years ago
Mwananchi15 May
Wataalamu: Tanzania iwe na sera maalumu kudhibiti matumizi ya pombe