Wafikiri kubadili kanuni kudhibiti utoro barazani
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amesema kamati ya uongozi ya Baraza la Wawakilishi inatazamiwa kukaa na kuangalia uwezekano wa kubadilisha kanuni za Baraza kwa ajili ya kudhibiti utoro wa wajumbe ambao ulisababisha kikao kuahirishwa kwa dakika 15.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Shule ya Msingi Uhuru yafanikiwa kudhibiti utoro
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
FIFA kubadili baadhi ya kanuni
11 years ago
Habarileo10 Jun
Kanuni kudhibiti matumizi ya mtandao
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema kuwa wizara yake inatayarisha Kanuni, zitakazodhibiti matumizi mabaya ya mtandao wa intaneti, ikiwemo uwekezaaji wa picha chafu mtandaoni.
9 years ago
VijimamboUzinduzi wa kanuni ya kudhibiti matumizi ya misumeno ya moto
11 years ago
Mwananchi24 Jun
BARAZANI: Waziri atishia kujiuzulu Z’bar
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Vitambulisho vyachafua hali ya hewa Barazani
10 years ago
Uhuru NewspaperNgeleja amlipua Zitto Kabwe Barazani
NA MARIAM MZIWANDA.MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja, amemgeuzia kibao Zitto Kabwe kuwa ni mmoja kati ya watu walionufaika na fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow.
Ngeleja, amemtaja Kabwe (Mbunge wa Kigoma Kaskazini), kuwa amejipatia zaidi ya sh. milioni 30 na hakuna mamlaka, likiwemo Bunge zilizochukua hatua dhidi yake.
Aliyasema hayo jana wakati akitoa utetezi wake mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, ambapo alikiri kupata fedha kiasi cha sh. milioni 40 kutoka kwa Mkurugenzi wa...
10 years ago
Habarileo12 Mar
Taarifa za utekelezaji mikataba ya kimataifa kuwasilishwa Barazani
WIZARA ya Uwezeshaji Ustawi wa Jamii, Wanawake Vijana na Watoto ya Zanzibar imesema kuanzia sasa taarifa zinazohusu utekelezaji wa mikataba ya kimataifa ya kupambana na ukatili dhidi ya wanawake zitawasilishwa pia katika Baraza la Wawakilishi.
11 years ago
MichuziVODACOM YAIPIGA JEKI SHULE YA BARAZANI MANYARAâ€