Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA kubadili baadhi ya kanuni

Shirikisho la soka ulimwenguni FIFA lina mpango wa kuzifanyia marekebisho kanuni zake ili kuzibana nchi zinazowania kuandaa Kombe la Dunia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wafikiri kubadili kanuni kudhibiti utoro barazani

Pandu Ameir KifichoSPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amesema kamati ya uongozi ya Baraza la Wawakilishi inatazamiwa kukaa na kuangalia uwezekano wa kubadilisha kanuni za Baraza kwa ajili ya kudhibiti utoro wa wajumbe ambao ulisababisha kikao kuahirishwa kwa dakika 15.

 

11 years ago

Michuzi

Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kuandaa rasimu ya kanuni za bunge maalumu wakijibu hoja za wabunge leo

 Mjumbe Mhe. Tundu Lissu akitoa ufafanuzi ya moja ya hoja zilizowekwa mezani na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakati wa majadiliano ya rasimu za kanuni  Mjumbe Mhe Evod Mmanda akijibu hoja Mjumbe Mhe. George Simbachawene akitoa ufafanuzi.  Mjumbe wa kamati ya kuandaa rasimu ya kanuni  ambaye pia anatoka kundi la walemavu Mhe. Amon Anastaz Mpanju akijibu hoja za wabunge. Picha na Deusdedit Moshi wa Globu ya Jamii

 

10 years ago

Mwananchi

Kanuni za Fifa, CAF zamrudisha darasani Kaseja

Kanuni na sheria mpya zilizopitishwa na Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) na lile la Afrika (CAF) zimemlazimu kipa wa zamani wa Simba, Juma Kaseja kurudi darasani ili aongeze ujuzi wa fani ya ukocha aliyoianza mwaka jana. Kaseja ambaye hajaonekana muda mrefu kwenye mechi za Ligi Kuu inayoendelea kutokana na mgogoro unaoendelea baina yake na klabu yake ya Yanga, alipata elimu yake ya awali kwenye fani hiyo mwaka jana mjini Morogoro chini ya mkufunzi Meja mstaafu Abdul Mingange.

 

10 years ago

Mwananchi

Baadhi ya makosa yanayojitokeza katika baadhi ya magazeti ya kiswahili

MAKOSA  yanayojitokeza katika magazeti  mengi ya Kiswahili ni kutokana na waandishi kutokuwa makini na wengine kutokuwa na ujuzi wa kutosha katika sarufi na fasihi Ya Kiswahili

 

10 years ago

Vijimambo

HAYA NDIO BAADHI YA MAAZIMIO YALIYOSABABISHA BUNGE KUAHIRISHWA KWA KUPINGA BAADHI YA MAADHIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW



MAAZIMIO
Pendekezo la kwanza la kumkamata na kumfilisi bwana Seth lina marekebisho ya serikali, naibu waziri wa Sheria anasema haiwezekani

Pendekezo la pili kuhusu Rugemalira, serikali imeweka marekebisho kuhusu uhalali wa pesa za Rugemalira alizogawa

Azimio la TATU limerekebishwa kuwa waliopokea pesa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua mahususi kwa mujibu wa sheria

Pendekezo la NNE. Kamati inazitaka mamlaka kuzitangaza benki za Mkombozi na Stanbic kama asasi za utakatishaji fedha
Azimio la 4...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hizi ni baadhi ya jumbe za baadhi ya Wasanii wa Bongo movies wakionyesha kuguswa na wimbi la mauaji ya ndungu zetu wenye ulemavu wa ngozi

Shamsa Ford:

“Yaani hata sijui nisemeje maana kila nikifikilia mwanadamu anayefanya ukatili huu wa kuwaua walemavu wa ngozi naumia sana.kikubwa naomba Mungu wote wanaohusika na huu unyama wakamatwe.. inshaallah Mwenyezi Mungu atasimamia kwa hili”.

Riyama Ally:

“Kiukweli siwezi kulala leo bila kusema haya nitakayosema.. hawa ni wenzetu na wanastahili tabasamu zaidi ya wanalolitoa wenyewe wanahitaji mapenzi yetu ya ziada.. lakini wapi binaadamu wenye uchu na tamaa za madaraka, pesa,...

 

5 years ago

GIVEMESPORT

Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish

Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish  GIVEMESPORTFnatic Tekkz explains why “no one” is enjoying FIFA 20  DexertoWorld's Best FIFA Player Says 'No-One Enjoys Playing FIFA 20' In Brutally Honest Interview  SPORTbibleView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Mwananchi

Kubadili msimbo kunavyokiathiri Kiswahili

Kubadili msimbo ni dhana  inayomaanisha kuingiza maneno ya lugha tofauti pindi mtumiaji wa lugha atumiapo lugha fulani. Ubadilishaji wa msimbo hufanywa na watumiaji wengi wa lugha katika miktadha mbalimbali ya mtumiaji wa lugha. Malengo ya kubadili msimbo  hutofautiana kutoka kwa mtumiaji mmoja wa lugha hadi mwingine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani