Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAELEZO YA MWENYEKITI WA KAMATI YA KANUNI NA HAKI ZA BUNGE MAALUM, MHESHIMIWA PANDU AMEIR KIFICHO (MJ.), KWA AJILI YA KUWASILISHA AZIMIO LA KUFANYA MAREKEBISHO YA KANUNI ZA BUNGE MAALUM


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mhe.Pandu Ameir Kificho ndiye Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba.


Bunge Maalumu la Katiba limemchagua Mhe. Pandu  Ameir Kificho (pichani) kuwa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba. Katika uchaguzi wa nafasi hiyo uliofanyika  kwenye Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, Mh.Kificho ameshinda kwa Kura 393 sawa na Asilimia 69.Washindani wengine, Bi.Magret na Mhe.Mahalu wamepata Kura 84 kila mmoja sawa na Asilimia 15.79%. Akitangaza matokeo hayo Katibu wa Bunge Dk Thomas Kashililah alisema Mhe. Kificho ameshinda baada ya kupata kura 393 sawa na 69.19% ya kura 558...

 

11 years ago

Mwananchi

Pandu achaguliwa mwenyekiti wa muda #Bunge Maalum la Katiba

Spika wa Bunge la Wawakilishi Zanzibar na Mbunge wa Bunge maalum la Katiba, Pandu Amir Kificho  amechaguliwa na wajumbe wa Bunge hilo kuwa Mwenyekiti wa muda.

 

11 years ago

Habarileo

Kificho Mwenyekiti wa muda Bunge Maalum la Katiba

SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalum la Katiba, katika uchaguzi uliofanyika jana mjini hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani