Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kuandaa rasimu ya kanuni za bunge maalumu wakijibu hoja za wabunge leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-UE3Zmn5Bb_s/UxdUxKXcrdI/AAAAAAAFRTg/eLFdA5MkiX0/s72-c/unnamed+(43).jpg)
Mjumbe Mhe. Tundu Lissu akitoa ufafanuzi ya moja ya hoja zilizowekwa mezani na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakati wa majadiliano ya rasimu za kanuni
Mjumbe Mhe Evod Mmanda akijibu hoja
Mjumbe Mhe. George Simbachawene akitoa ufafanuzi.
Mjumbe wa kamati ya kuandaa rasimu ya kanuni ambaye pia anatoka kundi la walemavu Mhe. Amon Anastaz Mpanju akijibu hoja za wabunge.
Picha na Deusdedit Moshi wa Globu ya Jamii
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi27 Feb
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZStiGirHLFY/Uxtk8WA-jMI/AAAAAAAFSII/KAgME3nzR-o/s72-c/unnamed+(33).jpg)
busara, amani na nguzu za hoja zatawala semina ya kujadili rasimu ya kanuni bungeni dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZStiGirHLFY/Uxtk8WA-jMI/AAAAAAAFSII/KAgME3nzR-o/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-E_Qbn6GTxh4/Uxtk8oYReAI/AAAAAAAFSIM/ZRIQPKwifwQ/s1600/unnamed+(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lXaYh6viiOA/Uxtk85yBaII/AAAAAAAFSIQ/2h6f6gV3BtE/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TDfuTLwA0P0/Uxtk9pzITfI/AAAAAAAFSIc/g1WXkh7WBQ4/s1600/unnamed+(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yY2Qv9lpJLQ/Uxtk-PKIaoI/AAAAAAAFSIo/32Aw0c-RsH8/s1600/unnamed+(37).jpg)
11 years ago
Michuzi04 Mar
11 years ago
Michuzi05 Aug
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cklqv0cA7t0/UvUE2xHYfOI/AAAAAAAFLoc/FgHAKplPQ7k/s72-c/89e2b58e610b8cff1d38e455abdc87d6.jpg)
news alert: Majina ya wajumbe wa Bunge maalumu la katiba yatangazwa leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cklqv0cA7t0/UvUE2xHYfOI/AAAAAAAFLoc/FgHAKplPQ7k/s1600/89e2b58e610b8cff1d38e455abdc87d6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9RLKwVLNi_U/UvUC6oR7vrI/AAAAAAAFLoQ/kLazWDkNaoA/s1600/f188acd617634856a19ed3f858e4714f.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ENhFTlzl62M/UwSgPm6C_5I/AAAAAAAFN_Y/7ad_rKWaUog/s72-c/unnamed+(79).jpg)
pinda akiwa na wajumbe wa bunge maalumu la katiba mjini dodoma leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-ENhFTlzl62M/UwSgPm6C_5I/AAAAAAAFN_Y/7ad_rKWaUog/s1600/unnamed+(79).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zmuxwl-IBlU/UwSgPs_cPdI/AAAAAAAFN_c/yiBNJ5J3e9A/s1600/unnamed+(80).jpg)
11 years ago
Habarileo12 Mar
Kanuni Bunge Maalumu zapita
HATIMAYE Bunge Maalumu la Katiba, limepitisha rasimu ya Kanuni zitakazotumika kuongoza majadiliano, pamoja na vifungu ambavyo havikutaja aina ya upigaji kura kama utakuwa wa wazi au wa siri. Hata hivyo, wakati Bunge likipitisha azimio hilo, baadhi ya wajumbe wamelaani kitendo cha Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu, Pandu Ameir Kificho, kuridhia kupitishwa kwa ‘kanuni nusu’ za Bunge kwa maelezo kuwa jambo hilo halitaleta muafaka.