Kanuni Bunge Maalumu zapita
HATIMAYE Bunge Maalumu la Katiba, limepitisha rasimu ya Kanuni zitakazotumika kuongoza majadiliano, pamoja na vifungu ambavyo havikutaja aina ya upigaji kura kama utakuwa wa wazi au wa siri. Hata hivyo, wakati Bunge likipitisha azimio hilo, baadhi ya wajumbe wamelaani kitendo cha Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu, Pandu Ameir Kificho, kuridhia kupitishwa kwa ‘kanuni nusu’ za Bunge kwa maelezo kuwa jambo hilo halitaleta muafaka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Apr
Kanuni Saba za Bunge Maalumu zarekebishwa
KAMATI ya Kanuni na Haki za Bunge Maalum imezifanyia marekebisho Kanuni zake Saba kwa lengo la kuweka utaratibu mzuri wa wajumbe kupendekeza marekebisho ya ibara na sura mpya za Rasimu ya Katiba.
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Bunge Maalumu la Katiba limekosa kanuni
HIVI Watanzania tunapata muda wa kujihoji ni sababu gani zimetufanya tufike hapa tulipo? Ni kwanini wananchi wengi walidai au kuhitaji Katiba mpya ya Tanzania kwa kipindi chote hiki? Tunajiuliza ni...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UE3Zmn5Bb_s/UxdUxKXcrdI/AAAAAAAFRTg/eLFdA5MkiX0/s72-c/unnamed+(43).jpg)
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kuandaa rasimu ya kanuni za bunge maalumu wakijibu hoja za wabunge leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-UE3Zmn5Bb_s/UxdUxKXcrdI/AAAAAAAFRTg/eLFdA5MkiX0/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jCfLAQe5Xq4/UxdUzagPmqI/AAAAAAAFRTo/nij5QXGgzbE/s1600/unnamed+(44).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HF6tF1v14vk/UxdU1iUHNvI/AAAAAAAFRTw/GZqAyefgfRw/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jcpvCHCvNts/UxdWAL7446I/AAAAAAAFRT8/ZYkR1Xoqsco/s1600/unnamed+(46).jpg)
11 years ago
Michuzi05 Aug
11 years ago
Michuzi27 Feb
11 years ago
Mwananchi04 May
Mahalu: Tatizo la Bunge la Katiba si kanuni
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Mizengo Pinda ataka kanuni za Bunge zibadilishwe
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Rungwe asingeweza kuvunja Kanuni za Bunge- Chauma