Bunge Maalumu la Katiba limekosa kanuni
HIVI Watanzania tunapata muda wa kujihoji ni sababu gani zimetufanya tufike hapa tulipo? Ni kwanini wananchi wengi walidai au kuhitaji Katiba mpya ya Tanzania kwa kipindi chote hiki? Tunajiuliza ni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Mar
Kanuni Bunge Maalumu zapita
HATIMAYE Bunge Maalumu la Katiba, limepitisha rasimu ya Kanuni zitakazotumika kuongoza majadiliano, pamoja na vifungu ambavyo havikutaja aina ya upigaji kura kama utakuwa wa wazi au wa siri. Hata hivyo, wakati Bunge likipitisha azimio hilo, baadhi ya wajumbe wamelaani kitendo cha Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu, Pandu Ameir Kificho, kuridhia kupitishwa kwa ‘kanuni nusu’ za Bunge kwa maelezo kuwa jambo hilo halitaleta muafaka.
11 years ago
Habarileo27 Apr
Kanuni Saba za Bunge Maalumu zarekebishwa
KAMATI ya Kanuni na Haki za Bunge Maalum imezifanyia marekebisho Kanuni zake Saba kwa lengo la kuweka utaratibu mzuri wa wajumbe kupendekeza marekebisho ya ibara na sura mpya za Rasimu ya Katiba.
11 years ago
Michuzi.jpg)
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kuandaa rasimu ya kanuni za bunge maalumu wakijibu hoja za wabunge leo
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi27 Feb
11 years ago
Michuzi.jpg)
wasanii wavamia bunge maalumu la katiba kudai haki zao zitambulike katka katiba mpaya dodoma
Wsanii 12 wakiwemo viongozi toka Shirikisho la muziki, Shirikisho la Filamu, Shirikisho la Sanaa za ufundi, Mtandao wa Wanamuziki Tanzania walifunga safari na kuvamia Dododma na kuwa na mfululizo wa mikutano na wabunge mbalimbali ili kuwashawishi waunge mkono vipengele viwili ambavyo wasanii wanavitaka katika Katiba 1. Kundi la wasanii kutambuliwa katika Katiba kama vile walivyotambuliwa Wakulima, wafugaji, wavuvi na wafugaji walivyotajwa 2. Milliki Bunifu kwa kiingereza Intellectual...
11 years ago
Mwananchi04 May
Mahalu: Tatizo la Bunge la Katiba si kanuni
11 years ago
Michuzi18 Mar
11 years ago
Michuzi15 Mar
Mkipuuza kanuni, tusilaumiane,' Sitta alionya Bunge la Katiba