wasanii wavamia bunge maalumu la katiba kudai haki zao zitambulike katka katiba mpaya dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-LuibVj0oezc/UwUfG9TlmhI/AAAAAAAFOJE/fcx1MiG4AhE/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Wsanii 12 wakiwemo viongozi toka Shirikisho la muziki, Shirikisho la Filamu, Shirikisho la Sanaa za ufundi, Mtandao wa Wanamuziki Tanzania walifunga safari na kuvamia Dododma na kuwa na mfululizo wa mikutano na wabunge mbalimbali ili kuwashawishi waunge mkono vipengele viwili ambavyo wasanii wanavitaka katika Katiba
1. Kundi la wasanii kutambuliwa katika Katiba kama vile walivyotambuliwa Wakulima, wafugaji, wavuvi na wafugaji walivyotajwa
2. Milliki Bunifu kwa kiingereza Intellectual...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLBUNGE MAALUMU LA KATIBA LAANZA MJINI DODOMA
11 years ago
Michuzi25 Feb
HAFLA YA KUWAPONGEZA WAJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-csNX1kZuLgc/UwsXH3leO9I/AAAAAAAA_Rk/S7vFC5_F8xk/s1600/582.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CEUm41X4BHc/UwsXIRy10sI/AAAAAAAA_Ro/mdvQPV8Vk4o/s1600/586.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VuLseoMukgg/UwsXKjmHZzI/AAAAAAAA_R0/t83RuIcOW8U/s1600/603.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ENhFTlzl62M/UwSgPm6C_5I/AAAAAAAFN_Y/7ad_rKWaUog/s72-c/unnamed+(79).jpg)
pinda akiwa na wajumbe wa bunge maalumu la katiba mjini dodoma leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-ENhFTlzl62M/UwSgPm6C_5I/AAAAAAAFN_Y/7ad_rKWaUog/s1600/unnamed+(79).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zmuxwl-IBlU/UwSgPs_cPdI/AAAAAAAFN_c/yiBNJ5J3e9A/s1600/unnamed+(80).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WaSt4_NWkDk/Uyx687WS9hI/AAAAAAAFVX8/Loq73bOmrfE/s72-c/jhgjkll.jpg)
Hotuba Ya Rais Kikwete Wakati Wa Kulihutubia Bunge Maalumu La Katiba,Mjini Dodoma Leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-WaSt4_NWkDk/Uyx687WS9hI/AAAAAAAFVX8/Loq73bOmrfE/s1600/jhgjkll.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s72-c/PIX-13.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya
![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s1600/PIX-13.jpg)
Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.
Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...
11 years ago
Dewji Blog27 Jul
Tamko la jukwaa la Katiba kuhusu Bunge Maalum la Katiba linaloanza Dodoma Agosti 5, 2014
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa tamko kuhusu Bunge la Katiba litakaloanza Agosti 5, 2014 ambapo walishauri Bunge hilo likae wiki mbili badala ya miezi miwili kama ilivyopangwa ili kupunguza matumizi makubwa ya fedha za Umma. Kutoka kushoto ni Mjumbe wa Kamati na Uongozi Jukata Omar Ali Omar, Meneja Habari na Mawasiliano wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Kenny...
10 years ago
VijimamboRASIMU KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nZRQWHAPDEo/VCLScyLXQjI/AAAAAAAGlh8/5jqUeQ7rutA/s72-c/unnamed%2B(81).jpg)
RASIMU KATIBA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI LEO KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nZRQWHAPDEo/VCLScyLXQjI/AAAAAAAGlh8/5jqUeQ7rutA/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4Ej0EIz0XRY/VCLSdKW1XpI/AAAAAAAGliE/3-IJgmE3Rw4/s1600/unnamed%2B(82).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hN6H87Qy01E/VCLSdWhKM_I/AAAAAAAGliA/Fam5CuSp1zw/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-R9tQ636gFL0/VCLSeIVZgJI/AAAAAAAGliI/CV8v0SJbaWM/s1600/unnamed%2B(84).jpg)